Mbunge wa upinzani kutoa zawadi kwa wagonjwa ni kosa?

Chuki ndani ya nchi hii imeletwa na serikali iliyolaaniwa ya ccm. Hta siku machafuko na vita vikitokea ni ccm Wata7bisha. Hawataki wapinzani kuunga mkono jamii yetu. Na ndio maana nasema kuwa haya yote ni 7babu ya kipigo walichopewa na lowasa uchaguzi wa 2015. Sasa hivi hawataki maendeleo yasaidiwe na upinzani, wakidhani kuwa kufanya hivyo ni wananchi wanawapenda
 
Kila siku tunamuoa Dr. Tulia naibu spika akigawa misaada, mara kufungua sijui miradi ya maendeleo, mbona hatuoni akizuiwa. Nimeona kwenye taarifa ya habari ya ITV nimejua kwa sasa ile rais kusema maendeleo hayana chama ni kama kutuona kwamba hatujui ukweli. Kitendo hiki ni kidhibitisho kwamba ndani ya nchi yetu kuna utengano unaokuwa kwa kasi kwa sababu za kiitikadi. Tukio kama hili linapaswa kutangazwa na vyombo vya habari kwa nguvu zote kuonyesha mahali nchi yetu ilipofikia.
Yule binti ni MNAFIKI kama kaka yake
 
Ndiyo ni kosa, mnaweza kuwawekea Sumu Wagonjwa, who knows?
Dahh siamini kama umetumia akili za kawaida kuandika huu Ujumbe. Kwani huwa mnalazimishwa mjibu kila kitu? Mambo mengine unaweza kukaa kimya tu kulinda utu na heshima yako.
 
Dahh siamini kama umetumia akili za kawaida kuandika huu Ujumbe. Kwani huwa mnalazishwa lazima mjibu kila kitu? Mambo mengine unaweza kukaa kimya tu kulinda utu na heshima yako.


Mimi siutaki huwo ,,utu na heshima“ !
 
Dahh siamini kama umetumia akili za kawaida kuandika huu Ujumbe. Kwani huwa mnalazishwa lazima mjibu kila kitu? Mambo mengine unaweza kukaa kimya tu kulinda utu na heshima yako.


Mimi siutaki huwo ,,utu na heshima“ hivyo siwezi kaa kimya!
 
Hii ni moja ya ishara za uwezekano kuwa 'dereva wa lori' hajaajiriwa na wamiliki wa lori.
 
Watanzania kwa awamu hii ili limekuwa funzo kubwa si kila mtu anafaa kushika nyadhifa kubwa kama hizo, mzee Kingunge alisema watu waka mpuuza matokeo yake ndio haya ubaguzi kila kona. Ila ili uonekane mzuri kaa chini ya miguu ya mfalme uendelee kupiga makofi na kushangilia bila ya hivyo utainekana kuwa ni adui wa mfalme.
Kabisa mkuu !
 
Mungu awaguse waliomzuia huyo mh. watubu! wakitubu kabla ya mwaka mpya itapendeza zaidi.kwani ni aibu na fedheha, naamini wagonjwa wanafarijika sana wakisaidiwa na mtu yeyote na Mungu anapendezwa pia kwa tendo la kuona wagonjwa na wasiojiweza!
 
Kama Chadema hawaoni hakuna cha maana chochote ambacho Rais Magufuli anakifanya katika Serikali yake hayo ndiyo matunda yake wala usishangae....kama unashindwa hata kuona kidogo kimoja alichokifanya kizuri wewe yote anayofanya ni mabaya kwako tu kila siku sasa utajua nini maana yake...tafuta wodi yako ya wazazi kapeleke hizo zawadi za Christmas sasa si katika majengo ya Serikali ya Magufuli hiyo iko hivyo mchana kweupe au nenda kawape hizo zawadi waumini makanisani huko ambako si majengo ya Serikali.Maana heshina yenu na thamani yenu kwa Serikali imeshika mnaona ndani Serikali wote hawana akili ila nyie ndiyo mnajua kila kitu mtakula jeuri yenu sasa msilalamike.

Hakuna mahali Mtanzania aliyemuomba MAGUFULI kutawala,alitaka mwenyewe hivyo hatuna sababu ya kumshangilia,maana anatekeleza wajibu wake.

Pili hakuna hata senti moja anayoitoa toka mfukoni mwake ni Kodi zetu watanzania,pamoja na mshahara wake ni kodi za watanzania,hivyo hakuna sababu ya kumshukuru,wala kumsifia,hakuna anachofanya kwa fadhila,analipwa mshahara mzuri/mnono atimize wajibu.
 
Alifuata Taratibu zipi kupeleka zawadi hizo?
====
Mbunge ni mtu mzito siyo wa kuvamia hospital kirahisi rahisi. Lakini kama alifuata taratibu na nakubaliana na masharti aliyopewa na bado akazuiwa basikuna tatizo kubwa.

Hivi wale wanaoenda kutoa zawadi au kuona wagonjwa wanatoa ruhusa wapi??Sijashangaa maana waliokuwa wanaenda kuchangia DAMU waliwekwa mahabusu baada ya week the same hospital inaomba watu wajitolee DAMU
 
Leteni jina la huyo Daktari mkuu wa hospitali na anapoishi.

Kama ikiwezekana wekeni na gari yake na namna za gari , Pia tupeni mtaa anaoishi , tafadhali sana
 
Ndiyo ni kosa, mnaweza kuwawekea Sumu Wagonjwa, who knows?

Unayoandika hayo sababu Chama Cha Mapinduzi ndicho kinatekeleza hayo Mauaji ya kila namna,upanga risasi,kukata watu vichwa kwa misumeno,madawa ya kuua taratibu in actual fact umeandika mnachopractice,mauaji.
 
Leo hii Mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA mkoani Katavi, Rhoda Kanchela amezuiwa kwenda kutoa zawadi kwenye wodi ya wazazi ikiwa ni katika kusherehekea siku kuu ya Christmas.

Je huu ni uungwana?
Wodini ni mahali kunahitajika usafi na si pa kupeleka zawadi zawadi. Hospitali za wilaya zina ofisi ya Mganga Mkuu,Ofisi ya Katibu na Ofisi ya Matron kote huko unaweza kuwasilisha zawadi zako halafu ndio ukaomba uangalie wagonjwa. Sasa wewe wodi ya wazazi na waandishi na kamera??
 
Magufuli ni mtu mbaya sana,anatutenga sana ndani ya nchi yetu,haya mambo ya kubaguana yameshika kasi ndani awamu yake,yeye anajenga nchi ya CCM tu anachukia sana upinzani hasa CDM
Mawazo mapya ya kuleta maendeleo hana tena. Wamebakia na nyimbo za bombadier na flyover. Zinawasaidia nini wa kule kwetu vijijini? Maigizo nayo yanazidi kukinai na kuchosha. Kila siku bandarini kukamata alivyoagiza mwenyewe. Risasi zaweza kuua lakini hazisaidii kufanya apendeke. Imebaki kununua wenye njaa endelevu
 
Back
Top Bottom