Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 23,018
- 20,511
....Si kosa lako, akili zenu ndivyo zilivyo
.....wagonjwa hao Mkuu
....Si kosa lako, akili zenu ndivyo zilivyo
Mimi wala sikushangaa nilipoiona hiyo habari, kila mtu sahivi anaogopa akionekana akishirikiana kwa namna yoyote ile na upinzani ataambiwa msaliti, na kama ni mtumishi wa umma hata kibarua chake kinaweza ota nyasi...!
Hilo tukio linachukuliwa kama ni la kufanya siasa hospitalini kwa sababu tu ni mtu wa upinzani ndo anahusika.., ila kama angekuwa mbunge au kiongozi yeyote wa ccm kafanya kitu hicho hicho nina uhakika wala kusingetokea kizingiti chochote na angefanya shughuli yake bila tabu.....!
Ndipo tulipofika hapo!!
Asante mkuu. Ningependa kujuw dini lako. Ili tuende sawa.Upo sana tu kasoro kigenge kidooogo cha wapigaji fedha za ruzuku za cdm psle UFIPA ndo hiwa wanasumbua humu ndani. Huwezi kuvuruga utaratibu wa kuwaona wagonjwa kisa unapeleka zawadi.vitu vyenyewe inasemekana ni biskuti na sabuni za magwanji..
Unaweza niambia ww kama ww kakutenga na nani ktk jamii yako?Leo nimetoka kula sikukuu na jamaa ambaye ni mfuasi wa chama flank damu na tumeinjoy sana.Ebu nipe huo ushahid ukianza na ww jinsi gani umetenganishwa na saiz unachuki na watu flani ktk jamii yako kisa siasa.Magufuli ni mtu mbaya sana,anatutenga sana ndani ya nchi yetu,haya mambo ya kubaguana yameshika kasi ndani awamu yake,yeye anajenga nchi ya CCM tu anachukia sana upinzani hasa CDM
Habar za kufurahia vifo hazijaanza leo kwa jpm.Ukiwa na kumbukumbu utaelewa.Kwa machache sana,2015 vilitokea vifo vya wanasiasa kama Selina Kombani na Mtikila.Upinzani ulishangilia sana na wengi walikua wakiimba ooh walimtukana lowasa.Akapata ajari nape,upinzani ulifurah sana hadi kufikia hatua kuombea afe.Hii ya watu kufurahi matukio mabaya yakiwakuta wanaccm haijaanza kwa jpm na hii tabia imeendelea hivohivo akifa wa ccm utasikia albadili na kejeli kibao.Niseme tu uchaguz wa mwaka 2015 uliwafanya watu wawe wehu bila sababu za mcng.Licha ya hivo Haya yote yameendelea kuwa kelele za kwenye mitandao tena ya wanasiasa kwa wanasiasa. Sijasikia huku mtaani mtu akifariki watu wanahoji ni chama gani,zaid Haya sana yako jf na mda mwingine huwa naona huu mtandao kuna watu wamegeuza jukwaa la propaganda chafu.Huwez kuhubir watu wametangana mitaani bila kuja na series ya matukio.Ngosha kiukweli ametugawa sana,, imefikia wakati sasavi mtanzania hadi anafurahia kifo cha mwingine,,jamaa ana roho Mbaya
Hii dhambi ikiachwa iendelee kutendeka itatutafuna kama taifa. Viongozi wa dini walazimisheni watawala watubu kama alivyo anza kakobe
Na katika chaguzi nyingi za Afrika, huwa hatupati the right candidate but we approve inaproptrate candidate to rule and not to lead. Mark my wordsSio kila mtu anafaa kuwa kiongozi!!
Vitu hivyo ni Lulu kwa wagonjwa, hasa walio na kipato cha chiniUpo sana tu kasoro kigenge kidooogo cha wapigaji fedha za ruzuku za cdm psle UFIPA ndo hiwa wanasumbua humu ndani. Huwezi kuvuruga utaratibu wa kuwaona wagonjwa kisa unapeleka zawadi.vitu vyenyewe inasemekana ni biskuti na sabuni za magwanji..
Pole sana ChanyauruMajinga ndio yanayolalamika na bado,kanyaga twende Magufuli 87%+ 2020
Heri ya Christmas,
Naangalia taarifa ya habari ya saa mbili usiku, ITV.
Mbunge wa viti maalum(CHADEMA) Roda Kanchela, amekataliwa kuingia kwenye hospitali ya Wilaya ya Katavi. Alikwenda hapo kwa minajili ya kusalimia wagonjwa kwenye wodi ya kinamama.
Imelazimu kinamama hao kutolewa nje ili wakapokee zawadi. Wauguzi wamekataa kutoa sababu.
Mshikamano na undugu baina yetu uko shakani kwa sababu ya siasa chafu. Sina hakika kama ni amri toka juu.
Kwani humu tunajadili nini kwa sasa???Unaweza niambia ww kama ww kakutenga na nani ktk jamii yako?Leo nimetoka kula sikukuu na jamaa ambaye ni mfuasi wa chama flank damu na tumeinjoy sana.Ebu nipe huo ushahid ukianza na ww jinsi gani umetenganishwa na saiz unachuki na watu flani ktk jamii yako kisa siasa.
hadi rahaNchi imefikia patamu sana .
Shamba, penda sifa, roho mbaya na kibaya zaidi much knowSijawahi kuona lisukuma lishamba namna hii...