Kabisa, hilo jamaa linamtindio wa ubongo!Huyo ndiye alipaswa kuitwa lofa
Fuc....u, ,,am a richest manSo what? Go screw your self!
Badala kanisa likemee mambo kama haya kanisa linatuambia tuzidishe mikesha na maombi bila matendoHeri ya Christmas,
Naangalia taarifa ya habari ya saa mbili usiku, ITV.
Mbunge wa viti maalum(CHADEMA) Roda Kanchela, amekataliwa kuingia kwenye hospitali ya Wilaya ya Katavi. Alikwenda hapo kwa minajili ya kusalimia wagonjwa kwenye wodi ya kinamama.
Imelazimu kinamama hao kutolewa nje ili wakapokee zawadi. Wauguzi wamekataa kutoa sababu.
Mshikamano na undugu baina yetu uko shakani kwa sababu ya siasa chafu. Sina hakika kama ni amri toka juu.
Unategemea nini kama mpuuzi kama huyu ndo mshauri Wa Ccm?Ndiyo ni kosa, mnaweza kuwawekea Sumu Wagonjwa, who knows?
Wapo wanaomuombea na kupenda anayoyafanya jifunze kujisemea.Huyu mtu anastaajabisha sana! Halafu utamsikia mniombee! Nani amuombee mtu dhalimu na mwenye roho mbaya kama huyu.
Hawa ndio wanazidi kuichafua ccmUnategemea nini kama mpuuzi kama huyu ndo mshauri Wa Ccm?
Umeanza kuliwa na mchwaHuu ndio upendo mkapa na wenzake wanasema ni umoja wa kitaifa
Umeongea jambo la maana sana.Tunatakiwa tutengane rasmi kuanzia mwezi mosi
Hujamuona anayeita waandishi Wa habari akifungua vyoo vya Stendi?Kauli zenu siku zote ni za ovyo ovyo.Msigwa aliwahi kusema waziwazi kuwa kazi yao kama wabunge wa upinzani ni kupinga lolote linalofanynwa na setikali hata yale mazuri.Kwa kauli za namna hii na kama Hospitali ni ya serikali ,basi mbunge huyo wa viti maalum ashauriwe tu apeleke huo msaada katika hospitali za binafsi.Huko atapokelewa na kwa bahati nzuri wanaotibiwa ni watnzania pia.Na akiwaomba watu wa kamera watamfuata hata huko maana huo ndio ugonjwa wenu mkubwa wa kutaka kuonekana.
Anapendwa na nani? Lete takwimu hapaAnaogopa kitu gani wakati anapendwa kila mahala?