I would prefer his attention and publicity seeking procedure inaweza ikaleta manufaa kwa sie walalahoi tunaotegemea umeme na bila kuwa na mbadala zaidi ya taa za chemli. Nafikiri ujinga wake ukawa bora zaidi mheshimiwa, au?Sisi wengine tuna akili duni kwa sababu si wabunge, lakini ukweli tumeujua kuwa wewe Kafulila a.k.a michelle umeamua kujitafutia umaarufu kwa kufikiria kuleta jambo hili la umeme ili uvute hisia za watanzania!!! Umefanya hivi hata kutumia majina mbali mbali kuanzisha threads tofauti ili uvute attention na publicity lakini huna lolote wala huwezi ukafanikisha ujinga wako huu. Usifikiri wewe ndiye mjanja pekee hapa Tanzania, Ujanja fanyia kigoma na uwadanganye waha wa kigoma Kusini lakini si wengine. Shwain mkubwa