PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 879
- 956
Mbunge wa Temeke Mhe. Dorothy Kilave ametoa zawadi za Madaftari Kwa wanafunzi waliofaulu vizuri kidato cha 4 na 2 katika shule ya secondary Lumo pia alishirikiana na wazazi kuongea na wanafunzi hao kuwa na muendelezo mzuri katika masomo yao.