Mbunge wa Tanga Mjini ataka shule zisilipishwe maji, umeme

CUF Habari

JF-Expert Member
Dec 12, 2019
239
234
Screenshot_20200410-164843.png


MBUNGE WA TANGA MJINI ATAKA SHULE ZISILIPISHWE MAJI, UMEME

Mbunge wa Tanga Mjini (CUF), Musa Mbarouk ameishauri serikali kufuta gharama za maji na umeme kwa shule za msingi na sekondari nchini ili kuwezesha wanafunzi kupata huduma hizo muhimu kwani hivi sasa shule nyingi zinakatiwa maji na umeme kwa kushindwa kulipa ankara zao.
 
View attachment 1415279

MBUNGE WA TANGA MJINI ATAKA SHULE ZISILIPISHWE MAJI, UMEME

Mbunge wa Tanga Mjini (CUF), Musa Mbarouk ameishauri serikali kufuta gharama za maji na umeme kwa shule za msingi na sekondari nchini ili kuwezesha wanafunzi kupata huduma hizo muhimu kwani hivi sasa shule nyingi zinakatiwa maji na umeme kwa kushindwa kulipa ankara zao.
Ni jambo la msingi sana haileti mantiki taasisi kama shule zinakatiwa maji kwa sababu ya Ankara tu.

Kwanini wasiondoe bill za maji kwenye mashule na hospital huko ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1415279

MBUNGE WA TANGA MJINI ATAKA SHULE ZISILIPISHWE MAJI, UMEME

Mbunge wa Tanga Mjini (CUF), Musa Mbarouk ameishauri serikali kufuta gharama za maji na umeme kwa shule za msingi na sekondari nchini ili kuwezesha wanafunzi kupata huduma hizo muhimu kwani hivi sasa shule nyingi zinakatiwa maji na umeme kwa kushindwa kulipa ankara zao.
The guy has a point
 
Pumba kama lipumba mwingine... shule nyingine zina nyumba za walimu humohumo kwahivyo nao wakae free? Ukiacha shule vipi vituo vya afya,vituo vya yatima/wazee etc. Chamuhimu ni wakurugenzi kuhakikisha hakuna shule inakatiwa maji/umeme.
Hichi chama cha kafu naona kilijitabiria kifo cha mende ndembendembe bora wajigeuze taasisi ya mikopo kupitia ruzuku walizoiba!!
 
Back
Top Bottom