Mbunge wa Ndanda (CHADEMA) ashinda kesi

Mbunge wa Ndanda (CHADEMA) ashinda kesi

wilchuma

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2013
Posts
1,102
Reaction score
333
e1c48b08-0613-4979-922b-585e933312f7.jpg

Mbunge wa CHADEMA Cecily Mwambe ameshinda kesi ya Ubunge iliyokuwa inamkabili baada ya aliyekuwa Mgombea wa CCM kufungua kesi ya kupinga matokeo yaliyompatia ushindi Mwambe kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015.

Hukumu imemalizika kusomwa muda mfupi uliopita mjini Masasi, Mtwara.
 
hiyo ilikuwa ilikuwa ni kesi ya Kupinga ubunge wake aliyofunguliwa na aliyekuwa mpinzan wake mgombea wa ccm, jaji baada ya kusikiliza hoja ya pande mbili, ametoa order ya kuthibitisha mh Mwambe ni Mshindi halali wa uchaguz uliofanyika 25Oct 2015
 
Basi hapo bavicha wataona haki.imetendeka ila kule longido mapovu yanawatoka haki haijatendeka .NYUMBU NI NYUMBU TU
 
Mahakama ya CCM imewaonea CHADEMA. Haki haijatendeka
 
Back
Top Bottom