Mbunge wa Ndanda (CHADEMA) ashinda kesi

Mbunge wa Ndanda (CHADEMA) ashinda kesi

Amaaa kwl Mungu ni mwema na hupenda zaidi kusaidia wanyonge. Asante sana mbunge CHADEMA
 
kwa sasa haki inaonekana tu pale mtu wa ukawa anaposhinda kesi ila akishindwa haki haikuwepo
 
Basi hapo bavicha wataona haki.imetendeka ila kule longido mapovu yanawatoka haki haijatendeka .NYUMBU NI NYUMBU TU



Yani wewe unaambiwa wapiga kura baadhi ni raia wa kenya hujiulizi waliingiaje ktk daftari la wapiga kura!!!!! Bado hujiuliz vitambulisho vya mpiga kura walivitoa wapi? Bado hujiuliz lubuva kamkabidhi rais ripot ya uchaguz kuwa ulikuwa wa huru na wa haki sasa dosar ya wapiga kura wa kigeni imetoka wap na hakuiona? Ina maana kamdanganya rais uchaguz walishirik mamluk hayo matokeo ya urais na madiwani inakuwaje ikiwa wakenya walishiriki?



UKIWA CCM LAZIMA UJITOE UFAHAMU MTU MWENYE AKILI TIMAMU LAZIMA ATAOGOPA KUZUNGUMZIA HAYO YA LONGIDO MANA NI UCHAFU MTUPU TUME IPO WAPI HAPO?
 
Haki haijatendeka!! Huyo mbunge hastahili kabisa
Huyo ni mbunge halali aliyechaguliwa kwa kura halali kutoka kwa wananchi! Anastahili kuwatumikia wananchi wa jimbo lake na siyo mtaa wa Lumumba...
 
Wale Wa buku 7 sasa ! Buku 2.....,watapotea mtandaoni!
 
Majaji wanao jielewa, sio kama yule alietoa hukumu ya kafulila kwa kukataa vielelezo, hukumu yake Mungu anajua lazima ataumbuka tu.
 
Mnachekesha akishinda wa chadema haki imetendeka likin akishinda wa ccm haki haijatendeka hivi mmevurugwa na nini?
 
Vijana wa Lumumba punguzeni kutoa povu, huu mchezo hauhitaj hasira
 
Basi hapo bavicha wataona haki.imetendeka ila kule longido mapovu yanawatoka haki haijatendeka .NYUMBU NI NYUMBU TU

Kwa hiyo wewe unaona Longido hali imetendeka? Hebu tuanze Lubuva karudisha chenji iliyobaki kwa rais jaji anasema cdm walitumia magari yao kukusanya masanduku vituoni kwa sababu gari hazikuwepo za tume. Wapiga kura walikua wakenya. Nani aliwapa vitambulisho vya kura. Alafu uhamiaji walikua wapi. Acha ukilaza wako hapa. Tumia akili usitumie akili kama una kichwa cha tikiti maji.
 
Back
Top Bottom