MBUNGE wa Morogoro Mjini (CCM), Abdulaziz Abood achimba visima 23 vya maji

inavyoelekea wewe sio mkazi wa jimbo la morogoro mjini.kama kweli jitokeze kwenye mojawapo ya mikutano yake ya hadhara mbele ya wananchi wa jimbo hili halafu useme hayo uliyoandika na utapata majibu ambayo sidhani kama utayasahau maishani kutoka kwa wananchi wa jimbo hili.sie wananchi wa morogoro mjini hatutaki wabunge wa kuganga njaa.uelewe ya kuwa sio kila jambo lipelekwe bungeni kama ambavyo unavyofikiria.kazi ya mbunge ni kutatua na kuyashughulikia matatizo ya wananchi ama kwa kuyatatua mwenyewe kama mbunge au kuiomba serikali kusaidia kutatua.nadhani wewe bado umelala wakati wananchi wa morogoro wameshaamka,huu mwaka wa 3 sasa.ww ndio kwanza bado upo kitandani umefumbua macho.inaelekea ndugu yangu njaa inakusumbua.pole sana.:high5:
 
Morogoro tunakero nyingi sana mfano nanenane tunapata maji msimu wa masika ikifika kiangazi hakuna maji ...hivyo visima kwetu si hoja ..
 
duuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.sasa hututakii mema wana moro.anashindwa kulea familia yake ataweza kutumikia wananchi.nadhani mihadarati,bangi,madawa ya kulevya,kuvua nguo hadharani yatahalalishwa siku hiyo.ewe bwana kwa uwezo wako,tuepushe na maoni haya ya shangwa francis.
 
Upuuzi wa mwaka ........ yaani baada ya miaka 50 ya uhuru bado tunategemea maji ya vision mijini. Sasa huko vijijini itabidi wasubiri miaka mingine 50 kama CCM itaendelea kuongoza.

Ni mambo ya kusikitisha kuona of all places, morogoro mjini panachimbwa visima. Sehemu yenye vyanzo vikuu vya maji ya mito mikubwa kabisa inayomwaga maji baharini.

Ni akili ndogo ya kuwahadaa wanananchi masikini wasiojua wamepewa pipi.

Haina tofauti na kujifanya kutoa msaada wa basi na lory kuwazika watu. Kwanini usitoe msaada wa dawa na vitanda kwenye health facilities?.
 
Tena visima vichache hivi, alitakiwa kujenga mara kumi ya hivi Huyu alishatuibia sana kwa nauli ya mabasi yake!! Asitufanye wajinga!

Mkuu na wewe unaingie kwenye mtego wa kushangilia visima? Hii nchi ina uwezo wa kuwapatia watu wote maji ya bomba tena masafi. Ni wizi na uvivu wao tu ndio unawaumbua! Na yeye mwenyewe anatumia maji ya visima au anawachimbia ''ngombe'' wanywe na yeye astarehe na mkewe kwa fedha wanayokwapua?
 
Ni mambo ya kusikitisha kuona of all places, morogoro mjini panachimbwa visima. Sehemu yenye vyanzo vikuu vya maji ya mito mikubwa kabisa inayomwaga maji baharini.

Ni akili ndogo ya kuwahadaa wanananchi masikini wasiojua wamepewa pipi.

Haina tofauti na kujifanya kutoa msaada wa basi na lory kuwazika watu. Kwanini usitoe msaada wa dawa na vitanda kwenye health facilities?.

naungana na wewe kwa asilimia zote........
 
Ni mambo ya kusikitisha kuona of all places, morogoro mjini panachimbwa visima. Sehemu yenye vyanzo vikuu vya maji ya mito mikubwa kabisa inayomwaga maji baharini.

Ni akili ndogo ya kuwahadaa wanananchi masikini wasiojua wamepewa pipi.

Haina tofauti na kujifanya kutoa msaada wa basi na lory kuwazika watu. Kwanini usitoe msaada wa dawa na vitanda kwenye health facilities?.

We wacha tu!!

Yaani Watanzania kama hatukulogwa basi tumelaaniwa.................... siyo bure!!!
 
inavyoelekea wewe sio mkazi wa jimbo la morogoro mjini.kama kweli jitokeze kwenye mojawapo ya mikutano yake ya hadhara mbele ya wananchi wa jimbo hili halafu useme hayo uliyoandika na utapata majibu ambayo sidhani kama utayasahau maishani kutoka kwa wananchi wa jimbo hili.sie wananchi wa morogoro mjini hatutaki wabunge wa kuganga njaa.uelewe ya kuwa sio kila jambo lipelekwe bungeni kama ambavyo unavyofikiria.kazi ya mbunge ni kutatua na kuyashughulikia matatizo ya wananchi ama kwa kuyatatua mwenyewe kama mbunge au kuiomba serikali kusaidia kutatua.nadhani wewe bado umelala wakati wananchi wa morogoro wameshaamka,huu mwaka wa 3 sasa.ww ndio kwanza bado upo kitandani umefumbua macho.inaelekea ndugu yangu njaa inakusumbua.pole sana.:high5:

Hizi ni ''kazi'' za mbunge kwa mujibu wa watu wenye ufinyu wa mawazo! Ukishaoona mbunge anatoa fedha mfukoni eti za kuchimba visima basi ujue ni kielelezo cha tatizo kubwa sana la uongozi kuanzia kwa mbunge mwenyewe mpaka kwa rais
 
Yaani hapa kweli hamna kitu wala hakuna watu waelewa!!!
1. Inaelekea Bigirita na Gronkjaer nyie wote ni wageni Morogoro.
2. Hamuelewi mnachosema!:doh:
3. Mbunge gani wa Chadema amewahi kufanya hivi?
4. Kwa ushahidi wa FastaFasta nunueni au kodisheni au azimeni gazeti la Mwananchi la jana Tarehe 25/04/2013 na musome kurasa za ndani ili mufahamu na muelewe na mujue kama ni nini amefanya na anafanya Mh. Abood kwenye kitengo cha AFYA.
5. Nendeni hospitali za Mafiga, Chamwino, Kingolwira na MUkaulize nani ameleta vifaa hapo?
6. Na sasa Hospitali ya Wilaya inajengwa Mkundi, Gharama yake ni MILLIONI 650. bado mtasema...... kweli hamna shukrani
7. Jamani huyu mbunge wetu siyo wa kuganga njaa!! wala hatunishi misuli bungeni!!!
 
Hizi ni ''kazi'' za mbunge kwa mujibu wa watu wenye ufinyu wa mawazo! Ukishaoona mbunge anatoa fedha mfukoni eti za kuchimba visima basi ujue ni kielelezo cha tatizo kubwa sana la uongozi kuanzia kwa mbunge mwenyewe mpaka kwa rais

Safi sana macho umeonyesha una ukomavu na weledi mkubwa sana .kiukweli ni kwa sababu ya umasikini wetu tunadhani kazi ya mbunge ni kuchimba visima au kugawa dawa mahospitalini.Sera zikitekelezwa vyema hilo ni jukumu la serikali.

Hapa bongo tumedanganywa na tumenogewa kuwa jukumu la mbunge ni kufanya hayo.

Hakuna mbunge atakayeweza kuendesha jimbo kwa fedha zake za mfukoni. na ndio maana tunasema ktk viwango vya mbunge bora abood hayumo.

Chukulia asilimia 75 ya wakazi wa morogoro ni masikini,tunahitaji mbunge atakayetetea masikini hawa ili sera mbovu zinazowakosesha maendeleo ziondoke ili wapate maendeleo.

Muda umefika na wanainchi wameshaelevuka, zama za kuchukua shilingi kumi za watu halafu ukarudishi shilingi moja na kuwadanganya umewasaidia zimepitwa na wakati....
 
[h=2]Friday, April 26, 2013[/h] [h=3]TASWIRA YA UZINDUZI WA MASHINE YA UTRA-SOUND HOSPITALI YA MKOA WA MOROGORO .[/h]
SETI YA MASHINE YA ULTRASOUND YENYE THAMANI YA SH 25 MILIONI
Mbunge wa jimbo la Morogoro mjini, Abdullaziz Abood akipata maelezo kutoka kwa mkuu wa idara ya X-RAY Daktari Alban Ndekeye kulia na Daktari Paul Henry wa kitengo cha idara ya X-RAY wakati wa uzindua wa mashine ya ultrasound mpya yenye thamani ya sh25 milioni kwa ajili ya hospita ya rufaa ya mkoa Morogoro.
 
Yaani hapa kweli hamna kitu wala hakuna watu waelewa!!!
1. Inaelekea Bigirita na Gronkjaer nyie wote ni wageni Morogoro.
2. Hamuelewi mnachosema!:doh:
3. Mbunge gani wa Chadema amewahi kufanya hivi?
4. Kwa ushahidi wa FastaFasta nunueni au kodisheni au azimeni gazeti la Mwananchi la jana Tarehe 25/04/2013 na musome kurasa za ndani ili mufahamu na muelewe na mujue kama ni nini amefanya na anafanya Mh. Abood kwenye kitengo cha AFYA.
5. Nendeni hospitali za Mafiga, Chamwino, Kingolwira na MUkaulize nani ameleta vifaa hapo?
6. Na sasa Hospitali ya Wilaya inajengwa Mkundi, Gharama yake ni MILLIONI 650. bado mtasema...... kweli hamna shukrani
7. Jamani huyu mbunge wetu siyo wa kuganga njaa!! wala hatunishi misuli bungeni!!!

Acha kupotosha umma,,,, sio huyu abood aliyeunga mkono nguzo za umeme zing'olewe kihonda-kayenzi zipelekwe tungi kwa sababu za kisiasa???
..sio huyu abood aliyeanzisha e-mail ya ofisi kwa ajili ya kero za wananchi but hajibu hizo kero?
..sio huyu abood anayeogopa kuulizwa maswali jukwaani?
 
Mwaxxxx, katika watu mbumbumbu wewe ndiyo wakwanza.
Usiwadanganye watu kwa sababu ya posho unayopata from Chadema.
... Kihonda nguzo za umeme zinasambazwa.
... Tungi, Tubuyu, Mjimwema nguzo za umeme zinasambazwa kama kweli wewe unaijua Morogoro utaenda kuangalia.
...Mh. Abood hatumii e-mail kusikiliza shida za watu!! Mh. Abood anawafuata watu kusikiliza shida zao na ana ofisi ambayo inapokea na kusikiliza shida na kero za wananchi.
... Mh. Abood haogopi kuulizwa maswali na anaulizwa maswali na anayajibu iwe kwenye mikutano au akiwatembelea mitaani au katika makazi yao.
...Pole sana rafiki yangu unapoteza muda mwingi kwa kufikiria jimboi la Morogoro mjini wakuwatoa CCM na Abood HAYUPO!!
...Abood kazi anazofanya ni za kutekeleza Ilani ya CCM 2010/2015.
 
Back
Top Bottom