Mbunge wa Misungwi afiwa na mwanae

Mbunge wa Misungwi afiwa na mwanae

Kati ya mambo ambayo mwanadamu hupatwa na wakati mgumu usioelezeka ni msiba. Mungu awape nguvu na ustahimilivu wafiwa wote. Poleni sana wafiwa.
 
Veda I will always remember you and pray for you. Upumzike kwa amani. Amina
 
RIP Veda
alikua staff pale pspf mwanza
dogo sana
poleni wafiwa

Poleni sana wafiwa nakumbuka dogo tulikua naye pale nyegezi kwa mara ya mwisho akikata kiu gafla akasikia jamaa yake kapata ajali maeneo ya tanesco ile kufika eneo la tukio wakiwa na trafik wanapima ajali gafla wakazolewa wote na wengine hawana miguu tena na wako hoi bin taaban ila yeye Mungu alimpenda zaidi.
 
R.I.P Veda ni mwanafamilia wa BCOM(Finance) UDBS 2007/2010 Chuo kikuu cha dar es salaam(UDSM)
 
Umemtoa Lukule ubaki katika ubunge

jina unalotumia haliendani na ulichopost. Kama unatoka nyamatale na ukafurahia kifo cha kijana mdogo kiasi hik
i we ni shetani. kifo ni cha wote na hata wewe ni mtarajiwa. ulibusheke gete ubebe. Nimesikitika sana.
 
Siamini umeandika hii comment. Sasa kanyan'ganywa uwaziri uta-comment nini tena?
Mkuu huwa watu hawaoni kuwa kumtakia binadamu maafa au mabaya , basi unajipalilia mwenyewe makaa ya moto wa laana.
 
Naibu Waziri na Mbunge wa Misungwi Charles "mawematatu", amefiwa na mtoto wake wa kiume kwa ajali ya gari hapa Mwanza. Vedastus Kitwanga amekutwa na mauti jumamosi. Mazishi ni kesho nyumbani,kwake Misungwi. Bwana ametoana bwana ametwaa.
niliwahi kuambiwa kuhusu hiki kifo na ulevi wa kupindukia wa mheshimiwa ...kimechanyanganya sana kwa sababu ya kuhusishwa na imani ...atii
 
mtoto wa kitwanga? Dah alikua aje kurithi ubunge si unajua hk chama chetu cha mapapai.anyway rip
 
R.I.P VEDA,Pole sana Mh.Kitwanga,,MUNGU AKUSTAHIMILISHE KWENYE HUU WAKATI MGUMU ULIONAO.
Hivi we Mtaka huwa una "ugonjwa" wa kuandika maherufi makubwa makubwa?Iwe Fb au huku tabia ni hii hii
Uandishi wa herufi kubwa ni kama kupiga makelele
 
Back
Top Bottom