kiganzamwandiga
Member
- Dec 21, 2012
- 11
- 8
Huwa nina sikitika sana ninapoona nchi hii haifanyi vetting during the recruitment. huyu mbunge wa ccm hafai kabisa kuwa mbunge wa kiongozi wa nchi katika idara yoyote. Murtaza alikua taperi sana hapa mjini akitoa visa feki na vyeti feki ofisi yake ikiwa karibu na mitaa ya kisutu stand ya zamani ya mabasi. ana kesi nyingi sana za utapeli, balozi zote hasa za uingereza na marekani wanamjua kwa kufoji visa na vyeti kaifanaya hii kazi kwa miaka mingi sana hata polisi wa central au vituo vingine wanamjua sana watu walikua wana RB nae lakini leo hii tunaambiwa ni mbunge tena anapitisha sheria bungeni na juzi juzi TFF wamemchagua kwenye kamati nyeti sana ya rufaa kweli tuna viongozi wa maana based on his back ground? ccm ni kweli hamjui lolote kuhusu Murtaza maisha yake ya zamani mpaka mpaka mkampa ubunge? the dude he has no good back ground to govern the sociaty. vijana wengi kuanzia 199 - 2005 wanamjua sana jinsi walivyo waliza na wengine yes walifanmikiwa kupelekwa nje ya nchi kwa visa feki. MIMI alichukua passport yangu nikuja kuipata baada ya kwenda police vinginenvyo walikua anauza kwa watu wengine. he doesnt qualified to be a leader. sorry watu kilwa kwa umasikini wenu na ukosefu wa elimu kwa kumchugua huyu bwana na shame to ccm kwa kumpa criminal cheo nyeti ndani ya bunge na tene mjumbe wa POAC.