Mbunge wa Kawe Halima Mdee, ashinda kesi ya Uchaguzi dhidi ya Kippi Warioba

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890

Habari yenu wakuu,

mdee.png


Mbunge wa Kawe Halima Mdee, ameshinda Kesi ya Uchaguzi, iliyofunguliwa na aliyekuwa mgombea wa Ubunge Kawe kwa tiketi ya CCM, katika uchaguzi mkuu wa 2015, Kippi Warioba.

Hii ni habari njema kwa wapenda mabadiliko.

Habari zaidi, stay tuned.
 
Habari yenu wakuu,

mbunge wa Kawe Mh. Halima Mdee, ameshinda Kesi ya Uchaguzi, iliyofunguliwa na aliyekuwa mgombea wa CCM katika uchaguzi mkuu wa 2015 Kippi Warioba.

Hii ni habari njema kwa wapenda mabadiliko.

Habari zaidi, stay tuned
Hajashinda, labda useme kesi imefutwa
 
Hivi huyu kijana pamoja na kutokea kwenye prominent family, kufanya jaribio la kuiba kura bila mafanikio, kushindwa na mdada bado alipata ujasiri wa kufungua kesi!??
 
Habari yenu wakuu,

View attachment 317064

Mbunge wa Kawe Halima Mdee, ameshinda Kesi ya Uchaguzi, iliyofunguliwa na aliyekuwa mgombea wa Ubunge Kawe kwa tiketi ya CCM, katika uchaguzi mkuu wa 2015, Kippi Warioba.

Hii ni habari njema kwa wapenda mabadiliko.

Habari zaidi, stay tuned.
MAHAKAMA CCM LEO NDO ZIMETENDA HAKI.MAKAMANDA ZUNGUSHA MIKOOOOOOOOOOOOONOOOOOOOO PIPOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOZ
 
Hivi kushida kesi watu wanajua maana yake? full trial ilifanyika na decree final ikatolewa? sasa utasema vipi mtu ameshinda kesi amabayo hata haijasikiliza imeondolewa either kwa technical ground na kutolewa decree nisi?
 
Hivi huyu kijana pamoja na kutokea kwenye prominent family, kufanya jaribio la kuiba kura bila mafanikio, kushindwa na mdada bado alipata ujasiri wa kufungua kesi!??
Tena hana hata haya mchana kweupe eti kesi! Ubunge kippi akafanyie nyumbani kwao awe mbunge wa ndugu zake lakini sio kwa wananchi tena wa kawe
 

Habari yenu wakuu,

View attachment 317064

Mbunge wa Kawe Halima Mdee, ameshinda Kesi ya Uchaguzi, iliyofunguliwa na aliyekuwa mgombea wa Ubunge Kawe kwa tiketi ya CCM, katika uchaguzi mkuu wa 2015, Kippi Warioba.

Hii ni habari njema kwa wapenda mabadiliko.

Habari zaidi, stay tuned.
Hapo mahakama zitasifiwa sana na makamanda.
Huzipenda na kuzisifu hadi pale wanaposhindwa kesi....hapi ndo utayajua makali ya midomo ya Makamanda.
 
Back
Top Bottom