Tetesi: Mbunge wa Jimbo la Msalala adaiwa kugawa ng'ombe wawili kila kijiji

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,789
218,426
Miongoni mwa Wabunge wa Tanzania waliobahatika kuteuliwa kufanya ziara ya siri huko Dubai, yumo mbunge wa Jimbo la Msalala la Mkoani Shinyanga.

Taarifa zinaonyesha kwamba Mbunge huyu alivyorudi tu yeye hakutaka kununua gari la kuandika jina lake kama alivyofanya Musukuma, bali yeye ameamua kugawa nyama ya ng'ombe kila kijiji, ambako kijiji kimoja kimeambulia ng'ombe kubwa mbili.

Ikumbukwe kwamba Jimbo la Msalala lina kata 18, ambapo kila kata ina vijiji 6, unadhani wabunge walioenda kule walilipwa bei gani kila mmoja na kwanini walipwe vitita vyote hivyo?

Toa Maoni yako.

===

JamiiForums imefanyia kazi suala hili, Soma: Mbunge wa Jimbo la Malala adaiwa kugawa ng'ombe wawili kila kijiji
 
Miongoni mwa wabunge wa Tanzania waliobahatika kuteuliwa kufanya ziara ya siri huko Dubai , yumo mbunge wa Jimbo la Msalala la Mkoani Shinyanga.

Taarifa zinaonyesha kwamba Mh huyu alivyorudi tu yeye hakutaka kununua gari la kuandika jina lake kama alivyofanya Musukuma , bali yeye ameamua kugawa nyama ya ng'ombe kila kijiji , ambako kijiji kimoja kimeambulia ng'ombe kubwa mbili.

Ikumbukwe kwamba Jimbo la Msalala lina kata 18 , ambapo kila kata ina vijiji 6 , unadhani wabunge walioenda kule walilipwa bei gani kila mmoja na kwanini walipwe vitita vyote hivyo ?

Toa Maoni yako .
Hawakulipwa "begani" wamelipwa mkononi.


Si muulize yule mbunge wenu anaitwa aida alilipwa shillingi ngapi.

Watu wanaongelea Dirham, wewe unaongelea shillingi.
 
Miongoni mwa wabunge wa Tanzania waliobahatika kuteuliwa kufanya ziara ya siri huko Dubai , yumo mbunge wa Jimbo la Msalala la Mkoani Shinyanga.

Taarifa zinaonyesha kwamba Mh huyu alivyorudi tu yeye hakutaka kununua gari la kuandika jina lake kama alivyofanya Musukuma , bali yeye ameamua kugawa nyama ya ng'ombe kila kijiji , ambako kijiji kimoja kimeambulia ng'ombe kubwa mbili.

Ikumbukwe kwamba Jimbo la Msalala lina kata 18 , ambapo kila kata ina vijiji 6 , unadhani wabunge walioenda kule walilipwa bei gani kila mmoja na kwanini walipwe vitita vyote hivyo ?

Toa Maoni yako .


Tunatoaje maoni kwa habari yenye mashaka?
 
Miongoni mwa wabunge wa Tanzania waliobahatika kuteuliwa kufanya ziara ya siri huko Dubai , yumo mbunge wa Jimbo la Msalala la Mkoani Shinyanga.

Taarifa zinaonyesha kwamba Mh huyu alivyorudi tu yeye hakutaka kununua gari la kuandika jina lake kama alivyofanya Musukuma , bali yeye ameamua kugawa nyama ya ng'ombe kila kijiji , ambako kijiji kimoja kimeambulia ng'ombe kubwa mbili.

Ikumbukwe kwamba Jimbo la Msalala lina kata 18 , ambapo kila kata ina vijiji 6 , unadhani wabunge walioenda kule walilipwa bei gani kila mmoja na kwanini walipwe vitita vyote hivyo ?

Toa Maoni yako .
 

Attachments

  • 1F368D16-525C-4C0F-9698-97EC48B86636.jpeg
    1F368D16-525C-4C0F-9698-97EC48B86636.jpeg
    37.4 KB · Views: 2
Miongoni mwa Wabunge wa Tanzania waliobahatika kuteuliwa kufanya ziara ya siri huko Dubai, yumo mbunge wa Jimbo la Msalala la Mkoani Shinyanga.

Taarifa zinaonyesha kwamba Mbunge huyu alivyorudi tu yeye hakutaka kununua gari la kuandika jina lake kama alivyofanya Musukuma, bali yeye ameamua kugawa nyama ya ng'ombe kila kijiji, ambako kijiji kimoja kimeambulia ng'ombe kubwa mbili.

Ikumbukwe kwamba Jimbo la Msalala lina kata 18, ambapo kila kata ina vijiji 6, unadhani wabunge walioenda kule walilipwa bei gani kila mmoja na kwanini walipwe vitita vyote hivyo?

Toa Maoni yako.
Unadhani inaweza kuwa inagharimu kiasi gani?
 
Back
Top Bottom