mende 2014
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 763
- 131
Hili Jimbo lilichukuliwa na Esther Bulaya baada ya wananchi kumkataa Steven Wassira. Sasa tangu achaguliwe hadi leo hii hata haeleweki na hatujui kuwa yako wapi maana tangu bunge limeisha wabunge wengine tunawaona majimboni mwao lakini huyu wa kwetu hatumuoni. Je, tulimchagua ili apate nafasi ya kutalii? Naona kama hatuna mbunge katika Jimbo hili.