Arudi tu, sikashapewa hela! kuna la maana analolifuata?
Mh!
Hope ni ZITTO au SHIBUDA.
Maana inaweza ikawa ni Ahueni kubwa sana kwa CHADEMA na Mapambano ya kumuondoa mkoloni mweusi kiujumla.
Chadema ina wakati mgumu sana kwa sasa..
Mh!
Hope ni ZITTO au SHIBUDA.
Maana inaweza ikawa ni Ahueni kubwa sana kwa CHADEMA na Mapambano ya kumuondoa mkoloni mweusi kiujumla.
Ina hali ngumu kwenye jina lako au una maanisha nini?