Comments
0
#10 am Proud Mzanzibari 2011-10-09 02:04 Ndio kwanza nione leo mbunge wa ccm ku[NENO BAYA] mbaroni,au anataka kutengeza jina,ccm kwishaaa huna jambo wewe,sizani kama habari hizi ni za ukweli,
Quote
+1
#9 KUDOSI 2011-10-08 22:26 Wanaacha kuwakamata akina Rage, Bulaya na Aeshi wanakamata mtu anayetetea maslahi ya walalahoi. Hivi ni lini Polisi Tanzania watafanya kazi kwa kufuata maadili, sheria na kanuni za jeshi? Kwanini wayumbishwe na Magamba?
Quote
+1
#8 KUDOSI 2011-10-08 22:20 Huyo mbunge ni CCM wenyewe wanamwandama kwa sababu ya kuwa upande wa wananchi kudai shamba lao la Mbarali lililochukuliwa na gabachori. Magamba na polisi wako upande wa hilo gabachori.Hakuna kazi nzuri walioifanya polisi, wanatumiwa tu na hilo gabachori na Magamba.
Quote
0
#7 Nayungi 2011-10-08 15:57 Polisi fanyeni hivyohivyo na kwa sisiem maana mlizidi kuwaandama wabunge wa upinzani
Quote
+1
#6 kidongoi 2011-10-08 10:11 Mchimba kisima hutumbukia mwenyewe! CCM kumbukeni mtoto akimtukana baba yake mzazi anatoa nafasi kwa watoto wengine kumtukania baba yake! Mmeshusha wenyewe hadhi ya ubunge ngoja laana iwarudi! Asante polisi wa Mbeya! Mwanawane bado Rage kwani hamkumuona na pisto hadharani? Polisi Tabora vipi?
Quote
0
#5 SYLVIA 2011-10-08 08:08 Quoting mzalendo:
Kamata kamata ya wabunge ni mradi wa nani? huyu nae spika katoa idhini ya kukamatwa kwake au lah? kazi ipo BORA wa CCM NAE KAKAMATWA ILI AONJE CHUNGU WALIONJA WABUNGE WENZAKE.tena asote ndani kama wiki hivi sio anakaa masaa.tuone kama litakwepo tamko la CCM kulaani udhalilishwaji wa mbunge wao.mwandishi wa habari hii kaacha maswali mengi kwani habari yake haijakamilika afanye uchunguzi kama spika alitaarifiwa kusudio la kumkamata na pia angejumuisha habari kama alietishiwa kasemaje.
akiwa bungeni ndo spika anatarifiwa vinginevyo anakamatwa kama wengine akifanya kosa eti apigiwe sim yeye ni nani? kama ni kiongozi kwani hao wa chadema sio viongozi? aache kudhalilisha jeshi tena akome kusema hivyo?
Quote
-1
#4 KENGE 2011-10-08 07:55
HONGERA POLISI-MBEYA KWA KAZI NZURIIIIII!
Quote
+1
#3 Kasim 2011-10-08 07:47 WAKUPIGIE SIMU WEWE NI NANI MWENYE SIMU YAKO?.... UMESAHAU MBOWE ALIKAMATWA KWA STAILI HIYO HIYO, AU KWA VILE UPO CCM UKADHANI UTAPEWA SPECIAL TREATMENT?.... NENDA HUKO SELO, UTAWALA WA SHERIA UNARUDI TARATIBU POLISI.
Quote
-1
#2 joseph Masanja 2011-10-08 01:35 Kamanda wa polisi mbeya safi sana asitoke ndani huyo kufilia humo ndani maana ccm haina maana hata siku moja safi sana unatakiwa kuwa mkuuwa polisi tanzania kuanzia leo
Quote
-1
#1 mzalendo 2011-10-08 01:30 Kamata kamata ya wabunge ni mradi wa nani? huyu nae spika katoa idhini ya kukamatwa kwake au lah? kazi ipo BORA wa CCM NAE KAKAMATWA ILI AONJE CHUNGU WALIONJA WABUNGE WENZAKE.tena asote ndani kama wiki hivi sio anakaa masaa.tuone kama litakwepo tamko la CCM kulaani udhalilishwaji wa mbunge wao.mwandishi wa habari hii kaacha maswali mengi kwani habari yake haijakamilika afanye uchunguzi kama spika alitaarifiwa kusudio la kumkamata na pia angejumuisha habari kama alietishiwa kasemaje.
Quote
Refresh comments list