Mbunge wa CCM ataka ripoti za uchunguzi vifo vya Mtikila na Chacha Wangwe ziletwe bungeni!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,968
141,977
Mbunge wa kuteuliwa kupitia CCM Janeth Masaburi amemtaka Waziri wa mambo ya ndani Dr Mwigulu Nchemba kufikisha bungeni ripoti za mauaji ya aliyekuwa mbunge wa Tarime ( Chadema) na mchungaji Christopher Mtikila aliyekuwa mwenyekiti wa chama cha DP. Source gazeti la Mtanzania!
 
Wameanza kutapatapa. Alitakiwa aseme ripoti zote yaani Chacha wangwe, mtikila, mawazo, akwilini, ben saa8, daniel john, diwani ( morogoro), allen (mbeya), gwanda, lissu, kibiti, kanguye nk ziletwe bungeni. Suguta asitajwe kwa sasa kwa kuwa mkuu wa polisi kanda husika amesema polisi anayetuhumiwa kuua atafikishwa mahakamani na tyr imekuwa hivyo.

Jinai hailipwi kwa kutenda jinai, njia sahihi ni haki tu. Na wana CCM inabidi wajue kuwa wanaopigiwa kelele aidha kwa kujisahau/kwa makusudi kutotimiza wajibu wao wa kulinda usalama wa raia ni jeshi la polisi na si CCM. Wito kwa kila mweye akili ni kwamba vitendo vyote vinavyosigina haki za binadamu ambavyo kwa sasa polisi inanyooshewa kidole, ripoti iletwe mbele ya bunge ili wenye kuwajibika kwa uzembe wawajibike na wenye kusafishwa asafishwe. Ieleweke hapa si katibu mwenezi wa chama anayeambiwa kuleta ripoti bali ni watendaji wa polisi waliokabidhiwa jukumu hilo.
 
Hawa viburudisho vya wakubwa bungeni ni mzigo tu ndani ya bunge

Uchunguzi uanzie kwa Harace Kolimba na kuelendelea hadi kwa tukio la hivi karibu la kushambuliwa Mh Lissu kwa risasi za moto

Tukio la Lissu likifanyika kwa uchunguzi ulio huru kabisa huenda baba jeska akawa mhusika mkuu wa shambulio hilo
 
Wameanza kutapatapa. Alitakiwa aseme ripoti zote yaani Chacha wangwe, mtikila, mawazo, akwilini, ben saa8, daniel john, diwani ( morogoro), allen (mbeya), gwanda, lissu, kibiti, kanguye nk ziletwe bungeni. Suguta asitajwe kwa sasa kwa kuwa mkuu wa polisi kanda husika amesema polisi anayetuhumiwa kuua atafikishwa mahakamani na tyr imekuwa hivyo.

Jinai hailipwi kwa kutenda jinai, njia sahihi ni haki tu. Na wana CCM inabidi wajue kuwa wanaopigiwa kelele aidha kwa kujisahau/kwa makusudi kutotimiza wajibu wao wa kulinda usalama wa raia ni jeshi la polisi na si CCM. Wito kwa kila mweye akili ni kwamba vitendo vyote vinavyosigina haki za binadamu ambavyo kwa sasa polisi inanyooshewa kidole, ripoti iletwe mbele ya bunge ili wenye kuwajibika kwa uzembe wawajibike na wenye kusafishwa asafishwe. Ieleweke hapa si katibu mwenezi wa chama anayeambiwa kuleta ripoti bali ni watendaji wa polisi waliokabidhiwa jukumu hilo.

wewe na huyo mbunge nyote mnafanana akili na uwezo wa kufikiri

unavyomuweka Lissu kwamba na yeye amekufa au unamaanisha nini??
 
Mbunge wa kuteuliwa kupitia CCM Janeth Masaburi amemtaka Waziri wa mambo ya ndani Dr Mwigulu Nchemba kufikisha bungeni ripoti za mauaji ya aliyekuwa mbunge wa Tarime ( Chadema) na mchungaji Christopher Mtikila aliyekuwa mwenyekiti wa chama cha DP. Source gazeti la Mtanzania!
Mbona Hawa anaowataja wote walikufa kwa ajali na sir kuuawa Kama anavyosema?? Mandezi ya kijani haya!
 
Mbona Hawa anaowataja wote walikufa kwa ajali na sir kuuawa Kama anavyosema?? Mandezi ya kijani haya!
kuna ajali nyingine za kupagwa kutekeleza mauaji,na zinafanywa na watu professional kabisa kwa ajili ya kazi hiyo
 
Uzuri ni kuwa mmoja ataumia kwa faida ya watu 55 mio, na mbaya zaidi huu ni mtego ambao wahusika wataungana kutotaka hili lisifanyike hata kama ni maadui. Wahusika hao ni shetani tu na wasaidizi wake. Hii ni kiroho zaidi.
 
Kuna watu wapumbavu sana humu, kwa hyo mkisikia ajal ndo kifo cha kawaida? Kuna ajali unapangiwa na watu wataalam kabisa unauwawa ajali za kijasusi n co ajali n umeuwawa...

Wanajuwa kama chacha aliuwawa na mtu ndani ya chadema, inajulikana kama mtikila aliuwawa na mtu aliyejipenyeza katika Udongo wenyw rutba
 
Kuna watu wapumbavu sana humu, kwa hyo mkisikia ajal ndo kifo cha kawaida? Kuna ajali unapangiwa na watu wataalam kabisa unauwawa ajali za kijasusi n co ajali n umeuwawa...

Wanajuwa kama chacha aliuwawa na mtu ndani ya chadema, inajulikana kama mtikila aliuwawa na mtu aliyejipenyeza katika Udongo wenyw rutba
Udongo wenye rutuba?
 
Wameanza kutapatapa. Alitakiwa aseme ripoti zote yaani Chacha wangwe, mtikila, mawazo, akwilini, ben saa8, daniel john, diwani ( morogoro), allen (mbeya), gwanda, lissu, kibiti, kanguye nk ziletwe bungeni. Suguta asitajwe kwa sasa kwa kuwa mkuu wa polisi kanda husika amesema polisi anayetuhumiwa kuua atafikishwa mahakamani na tyr imekuwa hivyo.

Jinai hailipwi kwa kutenda jinai, njia sahihi ni haki tu. Na wana CCM inabidi wajue kuwa wanaopigiwa kelele aidha kwa kujisahau/kwa makusudi kutotimiza wajibu wao wa kulinda usalama wa raia ni jeshi la polisi na si CCM. Wito kwa kila mweye akili ni kwamba vitendo vyote vinavyosigina haki za binadamu ambavyo kwa sasa polisi inanyooshewa kidole, ripoti iletwe mbele ya bunge ili wenye kuwajibika kwa uzembe wawajibike na wenye kusafishwa asafishwe. Ieleweke hapa si katibu mwenezi wa chama anayeambiwa kuleta ripoti bali ni watendaji wa polisi waliokabidhiwa jukumu hilo.
mbona nyie hamsemi zote?
 
Yaani natamani ningekuwa Mungu wauaji wote ningewapa nundu kwenye nyuso zao kulingana na idadi ya watu waliowaua, I wish I could be God
 
Mbunge wa kuteuliwa kupitia CCM Janeth Masaburi amemtaka Waziri wa mambo ya ndani Dr Mwigulu Nchemba kufikisha bungeni ripoti za mauaji ya aliyekuwa mbunge wa Tarime ( Chadema) na mchungaji Christopher Mtikila aliyekuwa mwenyekiti wa chama cha DP. Source gazeti la Mtanzania!
Kama mtikila aliuwawa, it was strategical, kwani angekuwapo muda huu, Kuna mtu hata unywele usingeota popote! Kama Hawa waliopo tu wanamsumbua hivi, Mtikila angekuwepo si ndo ingekuwa balaa? Janeth Masaburi hajui anachoomba! Ni Tatizo la wenye Akili ndogo zinazowaza Kimasaburi!
 
ni wazo zuri. ila wabunge kwa umoja wao wangeanza kudai kwanza ripoti ya watu waliompiga risasi mbunge mwenzao lissu kwanza. mbaya zaidi hakuna muhusika aliyekamatwa hata mmoja......
 
WABUNGE wetu kama huna swali nyamaza sio Lazima kuuliza hiyo ripoti unataka uifanyie nini?
 
Back
Top Bottom