Endapo chadema hawataamua kwa dhati na haraka kwenda The Hague mahakama za kimataifa kufungua kesi, watambue kuwa kufika 2020 lazima Mtukufu malaika toka chato na Naibu Rais Maliyamungu Bashite watakuwa wameishaipoteza chadema kwenda ramani ya Siasa ya Tanganyika na Zanzibar, mkakati wa kurejesha mfumo wa chama kimoja kama China na Burundi upo madhubuti na njia pekee kwa sasa ni kuwabambikia kesi, kuwapiga Risasi, kuwafunga jela, kuwadhalilisha, kuwanunua Wapinzani wote kisha wachache wabishi watafungwa jela na chadema kusalia kuwa kama TLP, DP, NCCR kisha baadae msaji kuifuta kabsa isahaulike milele.