Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,000
- 33,675
Umeshaona chama kinawatetea?Kinje ni mpinzani?huyo manji naye ni mpinzani?ebu twambie ni kiongozi gani wa upinzani yupo ndani kwa kesi ya madawa ya kulevya?
Umeshaona chama kinawatetea?Kinje ni mpinzani?huyo manji naye ni mpinzani?ebu twambie ni kiongozi gani wa upinzani yupo ndani kwa kesi ya madawa ya kulevya?
Mkuu, umeelewa robo tu ya kilichoandikwa.Kwa fikra kama hizi ndiyo maana Tanzania tunazidi kuwa masikini. Ni nani aliwaambia kuwa Mbunge ni Provider? Hebu rejeeni majukumu ya Mbunge.
Sasa Nasary huwa anatoa wapi hela zake?Nasari huwa anatoa hela zake mfukoni kutekeleza miradi ya maendeleo? Kiongozi kuwajali wananchi kutoa pesa zake mfukoni kutekeleza miradi ya umma ndio utaratibu? Ukipata kiongozi muuza unga kwa mtindi huo utamlaumu nani? Rais yeye yuko juu ya sheria hatuwezi kumhoji, huyo mkurungenzi katoa hiyo 10m toka wapi? Atakuwa hauzi unga kweli?
Wakuu,
Katika ziara ya Mhe Rais katika Mkoa wa Lindi, amefanya mengi!
Ila moja la kufurahisha ni kumbwaga chini mbunge wa eneo husika katika kuwajali wananchi wa Somanga!
Wananchi walipoomba zahanati, Magufuli ametoa 20 millioni, Mkurugenzi 10 millioni na mbunge ametoa 0 millioni!
NB:
Wapinzani mjiandae, Operesheni Funika Upinzani Imeanza!
Ni wa cufu huyu sio poa kabisa alivyofanyiwaNimemuonea huruma...amekandamizwa sana. Nadhani atakuwa wa upinzani.
Ccm inakotupeleka siyoKwa fikra kama hizi ndiyo maana Tanzania tunazidi kuwa masikini. Ni nani aliwaambia kuwa Mbunge ni Provider? Hebu rejeeni majukumu ya Mbunge.
Bado hujajibu swaliUmeshaona chama kinawatetea?
Ameelewa sana unafikiri ni bongo lala huyo?Mkuu, umeelewa robo tu ya kilichoandikwa.
Ccm wanataka kutudanganyaHii ni sawa na kujitekenya mwenyewe then ukaanza kucheka mwenyewe......ni sawa na kutoa pesa mfuko wa shati na kuita press conference kuhamisha pesa hizo kwenda mfuko wa suruali.
Mkuu hakumwambia atoe pesa yake mfukoni bali zile anazolipwa na Serikali za kuendeleza jimbo. Ingawa kiukweli pale mkuu alimfanyia rafu kidogo mheshimiwa Mbunge.Kwani Mbunge alichaguliwa ili atoe michango kwenye hadhara ili kuifurahisha jamii?
Unajuaje kama hizo pia ni nyodo kama ahadi zake za kuwatetea wanyonge huku akigeuka moto mkali katika kuwaunguza wanyonge alioahidi kuwatetea?
Yaani siyo kabisa.Ccm inakotupeleka siyo
Habari haijakaa sawa, kama huyo mkuu wa nchi atatoa kwenye mshahara wake ni sahihi kumsema mbunge, hata huyo mnayemuita mkurugenzi zikitoka katika mshahara wake nitaamini kweli wana nia ya dhati zaidi ya hapo ni ubabaishaji. Kazi ya Serikali yoyote Duniani ni kutoa huduma kwa wananchi wake kwa kuwa inakusanya kodi. Ikifikia hatua kazi zinazotakiwa kufanyika wanafanya watu binafsi tena kutoka Serikalini ujue hatuna Serikali bali ubabaishaji. Lakini zaidi kama huyo mkurugenzi badala ya kujenga kituo cha afya kupitia halmashauri anayoingoza anasubiri Mhe. Rais aanzishe hakuna haja ya kuwa nae. HATUFAI leo, HATATUFAA kesho na atakuwa hajawahi KUFAA.Halafu ikifika 2020 wakishindwa uchaguzi wanaanza kulialia eti tume ya uchaguzi sio huru.
Muda huu baada ya kuutumia katika kuumiza kichwa kwenye kuyagusa maisha ya watu wa hali ya chini, wao wanahangaika na vyeti vya Makonda. Hii nchi imerogwa na mchawi ameshafariki siku nyingi zilizopita, mbaya zaidi hatujui kazikwa kaburi gani ili twende tukalitembelee.
Kama nivyo ilivyokuwa basi kuna shida kuliko kawaida. Mfuko wa jimbo si uamuzi wa mtu mmoja, kama ilivyo kwa DED kuamua kutoa fedha bila kupitishwa katika kikao cha madiwani labda atoe za kwake mfukoni.Mkuu hakumwambia atoe pesa yake mfukoni bali zile anazolipwa na Serikali za kuendeleza jimbo. Ingawa kiukweli pale mkuu alimfanyia rafu kidogo mheshimiwa Mbunge.
Pesa aliyotoa Magufuli ni kodi zetu watanzania, huyo Mkurugenzi ametoa pesa kwenye fungu la Halmashauri ya wilaya. Je, mbunge atatoa pesa kwenye taasisi ipi au ulitaka atoe mfukoni mwake ili wanawe wafe njaa? MaCCM bhana, hooooovyo!
Mfuko wa jimbo mkuuNi kutoka kwenye source gani hiyo hela?
Asilimia kubwa ni kodi za watanzania wakiwamo walioahidiRais na mkurugenzi walitoa hizo pesa kutoka katika akaunti za familia zao? Sio pesa za wananchi wenyewe? Umasikini na Ujinga, unaitafuna hii nchi.
Hata hivyo ccm kwa kilwa hata wafanyeje hawawezi kulichukua hilo jimboYaani siyo kabisa.
Wakuu,
Katika ziara ya Mhe Rais katika Mkoa wa Lindi, amefanya mengi!
Ila moja la kufurahisha ni kumbwaga chini mbunge wa eneo husika katika kuwajali wananchi wa Somanga!
Wananchi walipoomba zahanati, Magufuli ametoa 20 millioni, Mkurugenzi 10 millioni na mbunge ametoa 0 millioni!
NB:
Wapinzani mjiandae, Operesheni Funika Upinzani Imeanza!