OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,206
- 103,782
Amebanwa maswali manne hakuna hata moja alilotoa jibu la maana kama mwakilishi.
1. Anasema uchumi ulikuwa umeanguka. Akaulizwa kama uchumi ulianguka kipindi cha Magufuli mbona hakuwahi kusema hayo kipindi cha Magufuli anasema leo?
2. Ameulizwa kwa nini bunge limegeuka kuwa chombo cha kusifia serikali badala ya kuwajibisha na kuisimamia. Anaulizwa unasema Wilayani wamekula hela lakini bungeni unapiga makofi, tukueleweje? 🤣🤣🤣🤣🤣
3. Ameulizwa kama kila mwananchi analalamikia tozo,Je wao walienda kuwasilisha mawazo ya mwananchi gani bungeni