SIE CHADEMA viti maalum vilitolewa kwa UKOO sifa namba 1; Lucy Owenya, Kiwelu= Ndesa family; Lissu = Tindu Lissu empire nk.Sio kwa mujibu wa Chadema.
Wabunge wa viti maalum wamechakuliwa kwa elimu zao. Kila mwenye elimu ya juu zaidi alikuwa na nafasi kubwa zaidi ya kuchaguliwa kwa vile chama kinaamini elimu ni directly proportion to ubora wa mbunge
Rose Kamili mchumba wa Dr Wilbroad Peter Slaa!SIE CHADEMA viti maalum vilitolewa kwa UKOO sifa namba 1; Lucy Owenya, Kiwelu= Ndesa family; Lissu = Tindu Lissu empire nk.
Na ccm ni genge la wezi, kama mzee mamvi, mzee va vijisenti, king maker, na ndio maana haiwezekani kufukuzwa kwa sababu mkiwafukuza watalalamika kuwa wezi si peke yao katika ccm? kama mnabisha vijana wa Nape mtaona kama ahadi ya "mpaka pouwdah" itatekelezwaCDM ni genge la Watu wasiokuwa Makini ni Chama cha Kichagga! Sifa kubwa ya Wabunge wa viti maalum kwanza lazima uwe mchagga. au uwe na mahusiano na viongozi wa juu wa CDM.Ebu angalia kundi la wachagga viti maalum.Lucy OwenyaJocyce MukyaSuzan LyimoGrace KiweleRose Kamili huyu alikuwa demu wa a Loser Dr Slaa ajawahi kuongea chochote bungeniChritina Lissu huyu ndio hamna kitu nguvu ya kaka ndio imemuweka bungeni Tindu Lissu
Mkuu, Josephine ni nani mbona mnatuchanganya jamaniRose Kamili mchumba wa Dr Wilbroad Peter Slaa!
kweli katia aibu sana kwa fikira fupi kama zako bora wa CCM alieiba taulo hotelini
mimi nimemwona only once akicontribute wiki kama moja iliyopita, and she was very specific and to the point, she was actually commended for it ...leo sijapata fursa ya kuona hoja zake, ila katika kuchangia ile bajeti ya fedha nilihisi either ni economist or accountant... i stand to be corrected.
CDM ni genge la Watu wasiokuwa Makini ni Chama cha Kichagga! Sifa kubwa ya Wabunge wa viti maalum kwanza lazima uwe mchagga. au uwe na mahusiano na viongozi wa juu wa CDM.Ebu angalia kundi la wachagga viti maalum.Lucy OwenyaJocyce MukyaSuzan LyimoGrace KiweleRose Kamili huyu alikuwa demu wa a Loser Dr Slaa ajawahi kuongea chochote bungeniChritina Lissu huyu ndio hamna kitu nguvu ya kaka ndio imemuweka bungeni Tindu Lissu
Hauikuwa na mvuto wala hoja za msingi. Nawapa ushauri wa bure akapewe tution namna ya kuwasilisha hotuba ya upinzani bungeni. Pia awe awe anajiamini[/QUOTE
Sasa kwa uwezo finyu wa Waziri mtoa hoja HAWA GHASIA.....mlitarajia CHADEMA wampange mbunge mzoefu kama HALIMA MDEE kwenye wizara hiyo>>>???.......huyo Paulina Gakul ....anamtosha kabisa GHASIA
Sasa nyie mnajuaje mambo ya faragha kama haya.
Hauikuwa na mvuto wala hoja za msingi. Nawapa ushauri wa bure akapewe tution namna ya kuwasilisha hotuba ya upinzani bungeni. Pia awe awe anajiamini
Wewe ndiyo mbwiga kweli yule mama ni mtu makini alishawahi kuwa diwani Pia. Huwezi kumfananisha na matakataka ya wanamagamba kama vile hawa ghasia, mery mwanjelwa, maua daftari, pindi chana, anna makinda n.kNdugu wanaCDM huyu mbunge wenu mmemuokota wapi? Kwani akiwa kama Waziri Kivuli Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, amesoma hotuba kichovu sana. SHULE yake inatia shaka ama amepewa ubunge wa viti maalum kupitia sifa za ukoo na eneo atokalo kama ilivyozoeleka ndani ya CDM!
Yani wewe ulivyokuwa na fikra masizi unaona kompyuta ni kitu kikubwa! Wakati mimi mwenyewe nyumba kwangu nimemnunulia Mbwa wangu Laptop anachezea Gamehivi kuna watu wapuuzi kiasi hiki wanajua kutumia kompyuta.
kama alisoa kichovu lakini ikawa na mantiki nahoja nzurii hakuna taabu kabisa!Ndugu wanaCDM huyu mbunge wenu mmemuokota wapi? Kwani akiwa kama Waziri Kivuli Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, amesoma hotuba kichovu sana. SHULE yake inatia shaka ama amepewa ubunge wa viti maalum kupitia sifa za ukoo na eneo atokalo kama ilivyozoeleka ndani ya CDM!
Yani wewe ulivyokuwa na fikra masizi unaona kompyuta ni kitu kikubwa! Wakati mimi mwenyewe nyumba kwangu nimemnunulia Mbwa wangu Laptop anachezea Game
CDM ni genge la Watu wasiokuwa Makini ni Chama cha Kichagga! Sifa kubwa ya Wabunge wa viti maalum kwanza lazima uwe mchagga. au uwe na mahusiano na viongozi wa juu wa CDM.Ebu angalia kundi la wachagga viti maalum.Lucy OwenyaJocyce MukyaSuzan LyimoGrace Kiwele Rose Kamili huyu alikuwa demu wa a Loser Dr Slaa ajawahi kuongea chochote bungeniChritina Lissu huyu ndio hamna kitu nguvu ya kaka ndio imemuweka bungeni Tindu Lissu
Rose Kamili mchumba wa Dr Wilbroad Peter Slaa!
Mkuu, Josephine ni nani mbona mnatuchanganya jamani