Akichangia Hoja mda huu amesema wabunge waitwe Watukufu
Akichangia Hoja mda huu amesema wabunge waitwe Watukufu
Alichosema Ndassa;' hili ni Bunge Tukufu, hakusema wabunge waitwe Watukufu ......tukiendelea na ugomvi huu halitokuwa lBunge tukufu tena ila litakuwa Bunge la wagomvi. na kwa maantiki hiyo tutakuwa hatuwatendei haki waiotuchagua' nanukuu alichosema na kama unabisha kasome HANSARD
Akichangia Hoja mda huu amesema wabunge waitwe Watukufu
Alichosema Ndassa;' hili ni Bunge Tukufu, hakusema wabunge waitwe Watukufu ......tukiendelea na ugomvi huu halitokuwa lBunge tukufu tena ila litakuwa Bunge la wagomvi. na kwa maantiki hiyo tutakuwa hatuwatendei haki waiotuchagua' nanukuu alichosema na kama unabisha kasome HANSARD