Mbunge Mkono kwa heri jimboni

Mbunge Mkono kwa heri jimboni

babu M thats very valid observation. mafisadi wa escrow wata gang up kumuumbua Mkono. Butiama itashuhudia fedha nyingi sana mwaka huu. kwa vile siyapendi magamba, wache watumie hela zao kujikaanga wenyewe. jimbo liende upinzani
 
Last edited by a moderator:
Kwenye hili naamini utahitaji kufanya utafiti wa kutosha ili tukuunge mkono. Naamini sio vizuri kukubali kushindwa lakini kna mazingira mengine huna haja ya kuidanganya nafsi yako.
 
Jimbo la Musoma vijijini, tuna mgombea tunayemtaka, naye ni Anthony J.Mtaka. Hakuna habari ya Yusuph wala Mkono. Wasisumbue mda wao.
 
Mkono atakuwa kwenye wakati mgumu uchaguzi ujao kama atagombea tena. Itakuwa sio kati ya Mkono na wapinzani bali na Escrow pia. Mafisadi wenzake watamwaga pesa kuhakikisha anaumbuka kama alivyochangia kuwaumbua.

And too bad for him, ana mtu sasa hivi wakumsaidi kununua mgombea wa upinzani.

Kwani kile kiapo alochokula Mbowe kiwa katu hataweka upinzani Musoma Vijijini kilikuwa ni kwa uchaguzi wa 2010 pekeyake?
 
Jimbo la Musoma vijijini, tuna mgombea tunayemtaka, naye ni Anthony J.Mtaka. Hakuna habari ya Yusuph wala Mkono. Wasisumbue mda wao.

Huyo Anthony Mataka anapitia tikiti ya Jahazi Asilia au? Maana wakuu wa CHADEMA walishakula fweza na kuapa hawaweka upinzani
 
Mkono kipindi kile alikuwa hoi bila ushawishi wa ZZK kuuza jimbo asingekuwepo Bungeni, Je, Walijua sakata la Mkono kumpa ZZK magari mawili?
 
we hujui mbowe na mkono ni maswahiba, Uchaguzi uliopita Mbowe alihongwa milioni 20 na Mkono akapiga marufuku Chadema kusimamisha mgombea.
teh teh, nasikia pia naibu katibu mkuu wa cdm aitwaye zitto kabwe alihongwa magari mawili na mkono. Nimeamini pesa ni kila kitu.
 
Ndg, wanajamvi
NI KWELI MKONO HAWEZI KUSHINDA HATA KIDOGO ILA HATA YUSUPH KAZI KWA TAALUMA YAKE YA DARASA LA SABA, ULEVI ULIOPINDUKIA NA UWEZO WAKE MDOGO WA KUJENGA HOJA JUKWAANI HAWEZI KUPITISHWA NA CHADEMA, BUTIAMA INA WATIA NIA TAKRIBANI WATANO KWA TIKETI YA CHADEMA ILA MWENYE SIFA ZA KITAALUMA NA UWEZO WA KUJENGA HOJA MADHUBUTI NA ANAEJUA KHALI HALISI ZA BUTIAMA KATI YA WATIA NIA WATANO NI KIJANA MARWA JOHANES MARATO AMBAYE KIUKWELI HAJISIFII ILA AMEWEZESHA CHADEMA KUPATA VIJIJI VINGI AKISHIRIKIANA NA KAMATI TENDAJI, WASIFU WAKE NINAVYOMFAHAMU NI KAMA IFWATAVYO:

Marwa Johanes Marato ni mzaliwa wa kijiji cha Sirori Simba kata Sirori Simba wilayani Butiama mkoani Mara.

ELIMU YAKE:

  • Shule ya Msingi: Nyambili, Nyambili
  • Shule ya Sekondari (O-Level): Kiagata Sekondari, Butiama
  • (A- Level): Old Moshi High School,Kilimanjaro
  • Alijiunga na chuo kikuu cha SUA na kuchukua shahada ya Science na Teknolojia ya Vyakula, BSc(Food Science&Techn.)akahitimu mwaka 2011 na kuajiriwa kama Mkemia mwandamizi Kiwanda cha Bia Serengeti jijini Mwanza
  • Mwaka 2014 alitunukiwa Shahada ya Uzamili katika masomo ya Afya ya Jamii, yaani Master of Public Health, Chuo kikuu cha kikatoliki, Bugando jijini Mwanza
  • Anafanya kazi kwa kujitolea kwa Shirika lisilo la kiserikali (Light dream Organization) kama Mhamashishaji wa jamii kuhusu ushiriki kwenye miradi ya afya)
  • Ni mwanachama wa Chadema tangia mwaka 2009 na ameshiriki uchaguzi wa mwaka 2010 na kuhakikisha Kata yake ya SiroriSimba na Vijiji vyake kwa mwaka 2014 vinaongozwa na Chadema katika harakati za Ukombozi wa Taifa.


UZOEFU:




  • Amewhi kushika nyazifa mbali mbali katika tasisi za kitaaruma ikiwemo Spika wa bunge serikali ya wanachuo SUA, Katibu Mkuu serikali ya wanafunzi Kiagata Sekondari na Katibu Mkuu Mwena Old Moshi sekondari.
  • Anao uzoefu wa maswala ya utafiti katika maswala ya usalama wa vya kula na afya kwa walaji kutokana na kufanya tafiti zinazojikita katika maswala ya afya.

Kuna kila dalili zinazoonesha wazi kwamba wananchi wa Jimbo la Musoma vijijini (kwa sasa Jimbo la Butiama)hawatamchagua tena Mbunge wao, Nimrod Mkono. Kisa wananchi wanalalamika kawatelekeza kuboresha huduma muhimu za kijamii ikiwemo sekta ya maji na afya kwa akina mama.

Anayetajwa zaidi kwa sasa kumrithi Mkono ni Yusuph Kazi wa CHADEMA. Yetu macho na masikio, lakini waliopo huko Musoma wanaweza kutujuza kwa usahihi zaidi katika hili.
 
IWE ISIWE JIMBO HILI LIKIGAWANYWA KIJANA MARWA JOHANES MARATO ATASHINDA KWA KISHINDO BUTIAMA KWA KISHINDO KAMA CHADEMA/UKAWA ITAMSIMAMISHA KIJANA HUYU.
Ndg;

Wana Jamvi,

Chadema imejiandaa vizuri kupata mrithi wa kiti cha ubunge Butiama, Ni msomi ambaye anaweza kuleta mapinduzi makubwa kimaendeleo kwenye wilaya ya Butiama ilionyesha kudorola kwa muda mrefu baada ya waliomtegemea kuwainua kiuchumi, Kijamii na kisiasa kujikita zaidi kwenye kupiga dili kwenye fedha zinazodaiwa ni za kujenga chuo cha kilimo cha kumuenzi baba wa Taifa Butiama kupitia Ufadhili wa Umoja wa Ulaya na kuendelea kuhadaa raia na Taifa eti kainua Elimu kwa kujenga shule kwa hela zake badala ya kusema ukweli kuwa masalia ya fedha za chuo ndo kajengea madarasa ya Oswald Mangombe na Chief Ihunyo Sekondari na kushindwa kutatua migogoro ya ardhi hatimae kusababisha wananchi wa Sirori simba kudhulumiwa Ardhi yao ya Kiryenyikinyemela.

Si mwingine bali Ni


Marwa Johanes Marato
ni mzaliwa wa kijiji cha Sirori Simba kata Sirori Simba wilayani Butiama mkoani Mara.

Anatarajia kugombea ubunge wa jimbo jipya la Butiama kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mbunge wa sasa ni Nimrod Mkono (Musoma Vijijini) ambaye kimsingi hana tena 'credibility' ya kuwa mbunge wa Jimbo hili kwa kile kinachotajwa na wengi kuwa tangu awe mbunge hajawahi kuitisha mkutano wa wananchi wake kusikiliza kero zao na mbaya zaidi amechafuka ameridhihilika kuwa muongo kwa maswala mhimu yanayohusu maendeleo.

Hivyo kwa kuwa kitafiti Kijana Marwa ni mtu anaekubalika jimboni hapa kutokana na tabia yake ya unyenyekevu, usikivu, hekima na busara za hali ya juu, mwanasiasa kijana na mzalendo, mwadilifu na msomi nguli na mahiri mwenye uwezo wa kujenga hoja na uzoefu wa kutosha katika masuala ya Utatuzi wa changamoto za kijamii hasa vijijini na mjini kutokana na uzoefu wake wa maisha ya vijijini pamoja na Uongozi aliojaliwa kuwa nao.

Ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Marwa Johanes Marato ni Mwanacham asie na cheo ingawa kazi anazozitenda za ujenzi wa chama ni zaidi ya kuwa kiongozi chamani na hii inampa nafasi ya kuwa miongoni mwa 'mainjinia' wa Chama hiki kinachokua kwa kasi ya roketi!

ELIMU YAKE:


  • Shule ya Msingi: Nyambili, Nyambili
  • Shule ya Sekondari (O-Level): Kiagata Sekondari, Butiama
  • (A- Level): Old Moshi High School,Kilimanjaro
  • Alijiunga na chuo kikuu cha SUA na kuchukua shahada ya Science na Teknolojia ya Vyakula, BSc(Food Science&Techn.)akahitimu mwaka 2011 na kuajiriwa kama Mkemia mwandamizi Kiwanda cha Bia Serengeti jijini Mwanza
  • Mwaka 2014 alitunukiwa Shahada ya Uzamili katika masomo ya Afya ya Jamii, yaani Master of Public Health, Chuo kikuu cha kikatoliki, Bugando jijini Mwanza
  • Anafanya kazi kwa kujitolea kwa Shirika lisilo la kiserikali (Light dream Organization) kama Mhamashishaji wa jamii kuhusu ushiriki kwenye miradi ya afya)
  • Ni mwanachama wa Chadema tangia mwaka 2009 na ameshiriki uchaguzi wa mwaka 2010 na kuhakikisha Kata yake ya SiroriSimba na Vijiji vyake kwa mwaka 2014 vinaongozwa na Chadema katika harakati za Ukombozi wa Taifa.


UZOEFU:




  • Amewhi kushika nyazifa mbali mbali katika tasisi za kitaaruma ikiwemo Spika wa bunge serikali ya wanachuo SUA, Katibu Mkuu serikali ya wanafunzi Kiagata Sekondari na Katibu Mkuu Mwena Old Moshi sekondari.
  • Anao uzoefu wa maswala ya utafiti katika maswala ya usalama wa vya kula na afya kwa walaji kutokana na kufanya tafiti zinazojikita katika maswala ya afya.
 
Mkono atakuwa kwenye wakati mgumu uchaguzi ujao kama atagombea tena. Itakuwa sio kati ya Mkono na wapinzani bali na Escrow pia. Mafisadi wenzake watamwaga pesa kuhakikisha anaumbuka kama alivyochangia kuwaumbua.

And too bad for him, ana mtu sasa hivi wakumsaidi kununua mgombea wa upinzani.

Jina Dodoma halitakudi wakishindwa wanahamia Jimboni kwake.
 
Jimbo la Musoma vijijini, tuna mgombea tunayemtaka, naye ni Anthony J.Mtaka. Hakuna habari ya Yusuph wala Mkono. Wasisumbue mda wao.

Kuna methali inasema hivi... Mkono Mtupu haulambwi!
 
Hatutaki watu wa kiagata wala Butiama (wamekata Wilaya hovyo hovyo bila kuzingatia vigezo kama distance, nk).

Napenda awamu hii atoke Mugango, Bwai (Paris/ London), Kiriba, Mwiringo, Kurwaki, Kwikuba, Kiabakari, Suguti, Nyambui, Mrangi, Kome, Bukima, au Busekera na sio kila mwaka huko kwa Wazanaki! Kisa Nyerere au?

Mkono atakuwa na wakati mgumu sn make alikuwa anatumia Zitto kuhonga wapinzani na kujitoa ktk hatua za awali!!

Japo sio mwana CCM ila nina matumaini CCM ikimusimamisha Prof: Sospeter Mhongo watashinda ki urahisi sn. Huyu jamaa anapendwa sn kule balaa. Umeme ulikuwa historia. Kwao bado maji, barabara na hiduma za afya.

CHADEMA imeshika moto sna huko, japo bado kazi ya ziada inahitajika. Hawa watu wa kukaa mjini afu wakati wa Uchaguzi ndio wanakuja na porojo nyingiiiii!!!! Hawatakiwi!
 
Ndg, wanajamvi
NI KWELI MKONO HAWEZI KUSHINDA HATA KIDOGO ILA HATA YUSUPH KAZI KWA TAALUMA YAKE YA DARASA LA SABA, ULEVI ULIOPINDUKIA NA UWEZO WAKE MDOGO WA KUJENGA HOJA JUKWAANI HAWEZI KUPITISHWA NA CHADEMA, BUTIAMA INA WATIA NIA TAKRIBANI WATANO KWA TIKETI YA CHADEMA ILA MWENYE SIFA ZA KITAALUMA NA UWEZO WA KUJENGA HOJA MADHUBUTI NA ANAEJUA KHALI HALISI ZA BUTIAMA KATI YA WATIA NIA WATANO NI KIJANA MARWA JOHANES MARATO AMBAYE KIUKWELI HAJISIFII ILA AMEWEZESHA CHADEMA KUPATA VIJIJI VINGI AKISHIRIKIANA NA KAMATI TENDAJI, WASIFU WAKE NINAVYOMFAHAMU NI KAMA IFWATAVYO:

Marwa Johanes Marato ni mzaliwa wa kijiji cha Sirori Simba kata Sirori Simba wilayani Butiama mkoani Mara.

ELIMU YAKE:

  • Shule ya Msingi: Nyambili, Nyambili
  • Shule ya Sekondari (O-Level): Kiagata Sekondari, Butiama
  • (A- Level): Old Moshi High School,Kilimanjaro
  • Alijiunga na chuo kikuu cha SUA na kuchukua shahada ya Science na Teknolojia ya Vyakula, BSc(Food Science&Techn.)akahitimu mwaka 2011 na kuajiriwa kama Mkemia mwandamizi Kiwanda cha Bia Serengeti jijini Mwanza
  • Mwaka 2014 alitunukiwa Shahada ya Uzamili katika masomo ya Afya ya Jamii, yaani Master of Public Health, Chuo kikuu cha kikatoliki, Bugando jijini Mwanza
  • Anafanya kazi kwa kujitolea kwa Shirika lisilo la kiserikali (Light dream Organization) kama Mhamashishaji wa jamii kuhusu ushiriki kwenye miradi ya afya)
  • Ni mwanachama wa Chadema tangia mwaka 2009 na ameshiriki uchaguzi wa mwaka 2010 na kuhakikisha Kata yake ya SiroriSimba na Vijiji vyake kwa mwaka 2014 vinaongozwa na Chadema katika harakati za Ukombozi wa Taifa.


UZOEFU:




  • Amewhi kushika nyazifa mbali mbali katika tasisi za kitaaruma ikiwemo Spika wa bunge serikali ya wanachuo SUA, Katibu Mkuu serikali ya wanafunzi Kiagata Sekondari na Katibu Mkuu Mwena Old Moshi sekondari.
  • Anao uzoefu wa maswala ya utafiti katika maswala ya usalama wa vya kula na afya kwa walaji kutokana na kufanya tafiti zinazojikita katika maswala ya afya.

Huyo anafaa kuendelea kua mpishi,sio mbunge.
 
Back
Top Bottom