Mbunge Mkono kwa heri jimboni

Mbunge Mkono kwa heri jimboni

Yusufu kazi nimefanya nae kazi mgodi wa Tulawaka,jamaa mlevi Sana,alafu sio mzuri kwenye kujenga hoja.
ila kwa kupiga deals jamaa mzuri Sana,anaweza Ku take risk ipasavyo.
pale Tulawaka akiwa Dereva wa idara ya ulinzi alianzisha Mkukuta,aaaahh vijana wengi walifaidi Sana,he is schemer mzuri mnno.
go go Yusuf kazi,ila punguza ulevi.
 
Lazima wazee wa mchukie,7bu wamezoe hela za ssm wakat wa kampeN ,vijana tupo wengi lazima chadema tutashinda2
 
cdm tutashinda kila pahala sio musoma tu mi leo nilikuwa muheza kwa harbat mtangi huyu naye amekwisha kazi yake kashikwa pabaya vibaya sana
 
Kuna kila dalili zinazoonesha wazi kwamba wananchi wa Jimbo la Musoma vijijini (kwa sasa Jimbo la Butiama)hawatamchagua tena Mbunge wao, Nimrod Mkono. Kisa wananchi wanalalamika kawatelekeza kuboresha huduma muhimu za kijamii ikiwemo sekta ya maji na afya kwa akina mama.

Anayetajwa zaidi kwa sasa kumrithi Mkono ni Yusuph Kazi wa CHADEMA. Yetu macho na masikio, lakini waliopo huko Musoma wanaweza kutujuza kwa usahihi zaidi katika hili.

Mwingine anayetajwa ni kijana anthony mtaka ambaye ni dc wa hai
 
we hujui mbowe na mkono ni maswahiba, Uchaguzi uliopita Mbowe alihongwa milioni 20 na Mkono akapiga marufuku Chadema kusimamisha mgombea.

ndugu, hebu kuwa serious afu muogope mungu, hv mbowe ni wa kuhongwa kweli mil. 20?!!! unafaham economic status yake au unaharisha tu hapa
 
Yusufu kazi nimefanya nae kazi mgodi wa Tulawaka,jamaa mlevi Sana,alafu sio mzuri kwenye kujenga hoja.
ila kwa kupiga deals jamaa mzuri Sana,anaweza Ku take risk ipasavyo.
pale Tulawaka akiwa Dereva wa idara ya ulinzi alianzisha Mkukuta,aaaahh vijana wengi walifaidi Sana,he is schemer mzuri mnno.
go go Yusuf kazi,ila punguza ulevi.
Huyo Yusufu labda akagombee kupitia UPDP ya Fahmi Dovutwa. CDM ya leo inaweza kuwa na wanachama wa aina yake, lakini si wagombea ubunge.
 
Kwa mwaka huu ambao huwa wanamsidia kushinda, waruri , wakwaya na Wajita wanamsubili kwa hamu wampige chini, wanadai anawabagua kimaendeleo kwa kupelekwa huko zanaki kila miradi na kuwaacha wao soremba. Kama atagombea malingo mengi Muhongo ,Mkono atapigwa chini asubuhi sana na kuku hatawika.
Nijuavyo, kutakuwa na majimbo maeili tofauti. Jimbo la Musoma Vijijini na la Bitiama (hili litakuwa ni jimbo jipya). Muhongo atagombea Vijijini ja Mkono Butiama
 
we hujui mbowe na mkono ni maswahiba, Uchaguzi uliopita Mbowe alihongwa milioni 20 na Mkono akapiga marufuku Chadema kusimamisha mgombea.

Acha umbea ni zitto aliepewa 200m ili amuengue mgombea wa chadema ushahidi na vilevile singida mjini kwa dewji alimuengua j.isango kuwa mkweli acha uongo mtoto wa kiume
 
Back
Top Bottom