Lema anatia aibu wana Arusha!!!
Arusha kutenda kosa sio kosa, ila kurudia kosa ndio kosa; Huyo Lema mkimchagua tena mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana.
kila siku nimesema hila za ccm ni pembe la ngombe hazifichiki tena,na kila wanapofanya hila dhidi ya chadema lazima ile kwao lakini kwa kuwa ni sikio la kufa wanashindwa kuliona hilo"Nimeshinda kesi tena! Kwa kweli Mungu anatupenda sana na tutaendelea kupambana kutafuta haki bila hofu. Miili yetu na nafsi zetu zimepoteza maumivu kwa sababu ya mateso yaliyojaa uongi na hila. Hata hivyo tutaendelea na kelele za kupigania haki bila kurudi nyuma huku uvumilivu ukiwa nguzo yetu kuu"
Haya ni maneno ya Mh Godbless Lema asubuhi ya leo katika viwanja vya Mahakama Kuu Arusha mara baada ya kushinda kesi dhidi ya hila za Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo zikihusisha kilichodaiwa kuwa uchochezi kwa wanafunzi wa Uhasibu Arusha wamzomee Mulongo na kufanya fujo... Kesi hiyo imefutiliwa mbali baada ya washitaki kuomba hivyo pamoja na kwamba leo ndio ilikuwa siku ya kuanza kusikiliza ushahidi wa Mkuu wa Mkoa, Dean of Students, Makamu Mkuu wa Chuo na Maofisa wa Polisi wakiongozwa na OCD Muroto.
hivi watu wa arusha ni mafala kama unavyofikiri pale kuna watu makini mno sijapata kuona , arusha siyo tabora upinzani kwao ni shubiri ingawa sasa hivi naona kama wanfunguka kidogoLema anatia aibu wana Arusha!!!
Arusha kutenda kosa sio kosa, ila kurudia kosa ndio kosa; Huyo Lema mkimchagua tena mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana.
hiv A.TOWN watamchagua tena 2015 ???
Lema anatia aibu wana Arusha!!!
Arusha kutenda kosa sio kosa, ila kurudia kosa ndio kosa; Huyo Lema mkimchagua tena mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana.
Lema anatia aibu wana Arusha!!!
Arusha kutenda kosa sio kosa, ila kurudia kosa ndio kosa; Huyo Lema mkimchagua tena mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana.
lema anatia aibu wana arusha!!!
Arusha kutenda kosa sio kosa, ila kurudia kosa ndio kosa; huyo lema mkimchagua tena mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana.
hakuna aliyebakwa yule mdada ni biashara yake hiyo. Hata wewe kama unataka huduma unaweza kuwasiliana naye haina kinyongo andaa helayako tu.
Aibu tupu!
Mulongo anahitaji maombi maalum, maana nahofia kuna siku ataokota makopo!
Next time watakuchagua wewe.Lema anatia aibu wana Arusha!!!
Arusha kutenda kosa sio kosa, ila kurudia kosa ndio kosa; Huyo Lema mkimchagua tena mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana.
Vipi, vijana wamemuahia mama KOKU au bado wamemkomalia???Chizi ni yule mtu aliyekula rambirambi ya mjane wa Mwangosi.
Kisheria mahakama haikupata hata nafasi ya kujiridhisha ila kwa kesi kufutwa na upande wa mashtaka kuridhika ni tafsiri ya kuwa wao kama walalamikaji wanakubaliana na kauli kuwa ni kweli mkuu wa mkoa alienda kama anakwenda kwenye send off party