Mbunge Katani ataka Spika asitishe posho za wabunge kwa siku ili wabunge wauhisi uchungu wa wakulima wa korosho. Spika amkatalia!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,915
141,875
Mbunge wa Cuf mh Katani amesema wakulima wa korosho mikoa ya kusini wanateseka baada ya serikali kushindwa kuwalipa hadi sasa.

Katani amemtaka Spika asitishe malipo ya posho za wabunge wote kwa siku tatu tu aone kama kuna mbunge ataingia bungeni Ndugai amemjibu kuwa swala la kusitisha posho haliwezekani kabisa.

Aidha Katani amesema swala la Kangomba linafanywa siasa kwani ni jambo la halali kabisa....... yaani barter trade unanipa pembejeo nakupa korosho.
Katani amemtaka waziri wa kilimo kuhakikisha wakulima wa korosho wanalipwa fedha zao haraka kwani huu ni msimu wa kupulizia dawa mikorosho.

Source TBC 2

Maendeleo hayana vyama!
 
Hili suala la Korosho ni mojawapo ya maamuzi ya hovyo kabisa kufanywa katika serikali hii. Na bahati mbaya wote wana viburi kweli....hata ustaarabu wa kuwaomba radhi wakulima hawana!

Nakumbuka vizuri bado maneno ya Askofu Dr Shoo wakati wa msiba wa Mzee Mengi.
 
Huu ndio msimu ambao kangomba huwa msaada kwa mkulima, maana hana hela ila anahitaji pembejeo.

Sasa serikali ni muda mwafaka kuwapelekea wakulima pembejeo, maana hela za kununulia hawana na kagomba mmewazuia tena kwa viapo juu.
 
Huu ndio msimu ambao kangomba huwa msaada kwa mkulima, maana hana hela ila anahitaji pembejeo.

Sasa serikali ni muda mwafaka kuwapelekea wakulima pembejeo, maana hela za kununulia hawana na kagomba mmewazuia tena kwa viapo juu.
Hahahaa....... Wewe ni kangomba?!
 
Hili suala la Korosho ni mojawapo ya maamuzi ya hovyo kabisa kufanywa katika serikali hii. Na bahati mbaya wote wana viburi kweli....hata ustaarabu wa kuwaomba radhi wakulima hawana!

Nakumbuka vizuri bado maneno ya Askofu Dr Shoo wakati wa msiba wa Mzee Mengi.

Kama ya Bureaude Change kuvamiwa kwa Silaha za Kivita na kuchukua pesa zote na kutokomea nazo mpaka Leo
No kesi no maelezo
 
Kama ya Bureaude Change kuvamiwa kwa Silaha za Kivita na kuchukua pesa zote na kutokomea nazo mpaka Leo
No kesi no maelezo
hatari sana mkuu.kule mafia wameporwa wavuvi .wameporwa pesa zao na jwtz ati wananyavu zisizoruhusiwa.mpaka leo hakuna maelezo
 
Mbunge wa Cuf mh Katani amesema wakulima wa korosho mikoa ya kusini wanateseka baada ya serikali kushindwa kuwalipa hadi sasa.
Katani amemtaka Spika asitishe malipo ya posho za wabunge wote kwa siku tatu tu aone kama kuna mbunge ataingia bungeni Ndugai amemjibu kuwa swala la kusitisha posho haliwezekani kabisa.
Aidha Katani amesema swala la Kangomba linafanywa siasa kwani ni jambo la halali kabisa....... yaani barter trade unanipa pembejeo nakupa korosho.
Katani amemtaka waziri wa kilimo kuhakikisha wakulima wa korosho wanalipwa fedha zao haraka kwani huu ni msimu wa kupulizia dawa mikorosho.
Source TBC 2
Maendeleo hayana vyama!
aliyepora korosho za wakulima ni mhujumu UCHUMI Kama wahujumu uchumi wengine tu ( ulimwengu) .tofauti yake na kina kisena ni kwamba yye anatembea na mitutu ya bunduki
 
aliyepora korosho za wakulima ni mhujumu UCHUMI Kama wahujumu uchumi wengine tu ( ulimwengu) .tofauti yake na kina kisena ni kwamba yye anatembea na mitutu ya bunduki
Hakuna aliyeporwa fedha yote iko benki anayedai aende!
 
Hakuna aliyeporwa fedha yote iko benki anayedai aende!
aende kufanya nini pesa inatakiwa ingizwe kwenye account za vyama vya msingi.vyama viweke kwenye acc.za wakulima! huo itaratibu wa kwenda bank umeanza lini? AU ndio kila tukizidiwa na matokeo ya mihemko tunakimbilka UHAKIKI.
Ukweli ni kwamba watu wameporwa KOROSHO zao na ghiriba za raisi kudhan kila jambo anajua
 
Hili suala la Korosho ni mojawapo ya maamuzi ya hovyo kabisa kufanywa katika serikali hii. Na bahati mbaya wote wana viburi kweli....hata ustaarabu wa kuwaomba radhi wakulima hawana!

Nakumbuka vizuri bado maneno ya Askofu Dr Shoo wakati wa msiba wa Mzee Mengi.
Wanyonge wananyonywa na kunyongwa... nambari moja kwenye kula raha wanajisifia majukwaani... MUNGU HADHIHAKIWI... TUTAOMBA SANA...
Btt: NINGESHANGAA NGUDAI ANGELIKUBALI OMBI HILO...
 
Back
Top Bottom