JPM IS A GOOD LEADER
Member
- Jan 2, 2019
- 66
- 16
Ahahahaaaaa wewe bado umeganda na akili ya 2015??? Pooooleeee subiri tumpokee jembe wiki ijayo mje muone kama kunawakuimba MABADILIKOOOO LOWASAAAA........... Watu wanajuta kupoteza muda wao kuzungusha mikono saizi ni toba tu...... Jitokezeni wana CHADEMA, yaani mkionesha huo ujasiri wa kuitamka CHADEMA mbele ya mh. Raisi basi nitampa kura sugu2020.Naona mjinga ni wewe usiye kuwa na uelewa wa Mbeya.
Kamuulize Jiwe aliimbishwa nyimbo za kuisifu cdm pale mwanjelwa