Mbunge Joseph Mbilinyi apata ajali milima ya Kitonga

Mbunge Joseph Mbilinyi apata ajali milima ya Kitonga

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Mh.Sungu amenusurika ajali leo akiwa katika harakati za kudelete magamba maeneo ya mlima kitonga.

Tuchukue frusa hii kumtakia pole kamanda wetu mungu amwepushe na mabalaa haya,Ni ulozi tu wa migamba Pole saaana Mh Sugu, tunamshukuru Mungu kukuepusha kwa ajali hio mbaya.
attachment.php

 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1420896538.896330.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1420896538.896330.jpg
    22.5 KB · Views: 11,202
  • ajali.jpg
    ajali.jpg
    55.3 KB · Views: 7,975
Mungu mkubwa.......aluta continua....
 
Pole Sana kamanda Mungu yupo upande wako. Hila zao zote zitashindwa.
 
Nimeongea nae wapo salama wamepona wote,tatizo lilikuwa breki zilifeli ikabibid waigongeshe ukutani maana bila hivyo wangetumbukia korongoni,yupo na matrafiki ndo wanapima.
 
Pole sana Mh. Sugu Mungu ni mwema kwa watendao mema na nguvu zake zimeonekana kwa kukuepusha na umauti au ulemavu kutokana na ajali hii na hili mungu kalifanya kwa nia njema kabisa kwani wana Mbeya mjini bado wanakuhitaji sana leo, kesho na hata hapo baadae.
 
View attachment 217535
Mh.Sungu amenusurika ajali leo akiwa katika harakati za kudelete magamba huko mbeya.
Tuchukue frusa hii kumtakia pole kamanda wetu mungu amwepushe na mabalaa haya,Ni ulozi tu wa migamba Pole saaana Mh Sugu, tunamshukuru Mungu kukuepusha kwa ajali hio mbaya.



Mlima Kitonga siyo Mbeya, na habari ikishawekwa na member mwingie acha kuididimiza
 
ajali zingine zinasababishwa na VIROBA na BANGI,tusubiri ripoti ya polisi.
 
Back
Top Bottom