Wandugu napenda kuungana na alichosema mbunge wa ulyankulu Leo!
KADUTU: Mkiambiwa Mambo Yenu Mengine Mnakuja Juu - VIDEO
Nakumbuka wengi wamezoea kusema sauti ya wengi ni sauti ya Mungu si kweeeli! Ni kinyume chake!
Mungu akitaka kufanya jambo lake huwa anamtumia mtu mmoja tu tena kwa kumuandaa kwa gharama kubwa sana! Mfano; Yesu, Musa, Elia, Paulo nk! Tanzania yetu hii ya leo viongozi wadini na madhehebu mbalimbali wamedharauliwa sana tena saana ni kitu cha ajabu mno ambacho shetani anafurahi mno na yuko kazini!
Siasa inapokuwa kipimo thermometer ya viongozi wa dini isn't right!!! Hiki kitu kitalicost taifa coz Mungu anapotaka kuiponya nchi ni kanuni huwa anawaelekeza makuhani wake ambao ndio viongozi wa dini!
Tukiwapuuza hao we are finished kwasababu ukweli ni kwamba we have not played the price than our spiritual leaders have done! Leo tumjifananisha nao tu its like no one knows what every body is a boss! Hapana!!!!
Kuna wakati wana wa Israel walimwambia musa Mungu hawezi kusema na wewe tu nasisi tunataka aseme na sisi! Wakamdhihaki sana Musa kwamba si lolote! Mungu akawaambia waambie wajitakase wapande huku mlimani nitasema nao! Haikuwezekana!!! Wao wenyewe walishindwa kuvumilia wakarudi chini fastaa!!!
Now kiburi chako ewe Tanzania kama nchi mbona kimepanda mno kiasi ambacho huoni hata madhabahu za Mungu zinazowakilisha ufalme wake?? Madhabahu zimedharaulika mno its like vijiwe! Ndugu zangu tusijifananishe na viongozi wa dini hata kama wanamadhaifu!!!
Hukumu yao sio hukumu yetu! Tusijefikiri kwakuwa tunajua siasa we can challenge every thing! Hongera mbunge kwa kubali kutumiwa na Mungu kufikisha kilio chake kwa wanadamu wanaodhani kuwa wamefika kiti cha enzi!!! Its my prayer that 2020 you win without sweating! God has already won for you!!!!
KADUTU: Mkiambiwa Mambo Yenu Mengine Mnakuja Juu - VIDEO
Nakumbuka wengi wamezoea kusema sauti ya wengi ni sauti ya Mungu si kweeeli! Ni kinyume chake!
Mungu akitaka kufanya jambo lake huwa anamtumia mtu mmoja tu tena kwa kumuandaa kwa gharama kubwa sana! Mfano; Yesu, Musa, Elia, Paulo nk! Tanzania yetu hii ya leo viongozi wadini na madhehebu mbalimbali wamedharauliwa sana tena saana ni kitu cha ajabu mno ambacho shetani anafurahi mno na yuko kazini!
Siasa inapokuwa kipimo thermometer ya viongozi wa dini isn't right!!! Hiki kitu kitalicost taifa coz Mungu anapotaka kuiponya nchi ni kanuni huwa anawaelekeza makuhani wake ambao ndio viongozi wa dini!
Tukiwapuuza hao we are finished kwasababu ukweli ni kwamba we have not played the price than our spiritual leaders have done! Leo tumjifananisha nao tu its like no one knows what every body is a boss! Hapana!!!!
Kuna wakati wana wa Israel walimwambia musa Mungu hawezi kusema na wewe tu nasisi tunataka aseme na sisi! Wakamdhihaki sana Musa kwamba si lolote! Mungu akawaambia waambie wajitakase wapande huku mlimani nitasema nao! Haikuwezekana!!! Wao wenyewe walishindwa kuvumilia wakarudi chini fastaa!!!
Now kiburi chako ewe Tanzania kama nchi mbona kimepanda mno kiasi ambacho huoni hata madhabahu za Mungu zinazowakilisha ufalme wake?? Madhabahu zimedharaulika mno its like vijiwe! Ndugu zangu tusijifananishe na viongozi wa dini hata kama wanamadhaifu!!!
Hukumu yao sio hukumu yetu! Tusijefikiri kwakuwa tunajua siasa we can challenge every thing! Hongera mbunge kwa kubali kutumiwa na Mungu kufikisha kilio chake kwa wanadamu wanaodhani kuwa wamefika kiti cha enzi!!! Its my prayer that 2020 you win without sweating! God has already won for you!!!!