Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Sawa mkuu Pascal.Mkuu St Ivuga, nimeuliza tuu.... mimi ni binadamu, na yeye pia ni binadamu, sote ni binadamu, kufahamiana ni muhimu huwezi jua!.
P.
Sawa mkuu Pascal.Mkuu St Ivuga, nimeuliza tuu.... mimi ni binadamu, na yeye pia ni binadamu, sote ni binadamu, kufahamiana ni muhimu huwezi jua!.
P.
Yeye ndo amedanganywaSi umesemea Kingu na mkewe walikua kwenye mparanganyiko na alisharudishwa kwao ?
Sasa anamwamini vipi bado ?
Sijawahi ona umeandika kama hivi. Tukisema tuanze waliozalishwa na waume za watu tutakuta malaya wengi sana. Kingu alimdanganya huyo dada atamuoa mke wa pili sababu ndoa yake na mke wake imekufa na alishampeleka mpaka kwake. Kingu alikua wazi kabisa kwenye relationship yake na Nicole. Alikua anamuweka dp anampeleka anakaa na watoto wake. Mwananke yeyote ukimuaminisha hivi ukimuomba kuzaa hawezi kataa. Ni kosa amefanya ila Kingu alimsababishia hivi.
Namjua Kingu sana kabisa. Kwa taarifa yako sasa hivi ana mwanamke mwingine nae akija kushtuka atajikuta anamtamani Kingu kama hivi.
Huyo Trump kwani kahasiwa? Mbona na yeye ana kashfa kibao tu za migegedo. Acheni kujidharau Waafrika.Huyo kingu atapata muda wa kulea Huyo mtoto. ...? Mwisho ni taifa lisilokuwa na malezi yeyote, lisilo wajibika bado sisi waafrika tutasubiri sana. Mnasifia michepuko na kuhalalisha upuuzi. Acha trump atutukane ndiyo tunayoweza
Wanasiasa wengi TZ hawaheshimu kabisa familia zao...Mfano huyu Emmanuel Kingu, ana ndoa lakini bado ana michepuko kibao akiwemo Miss Shinyanga 2014, Nicole Franklin ambaye katika video hii anaongea proudly kabisa kwamba Kingu ndiye Baba mtoto wake, pamoja na kujifanya anamhurumia mke wa Kingu...wacha Trump awaite shitholes
Tafadhali uwe na heshima na imani za watu.Sheikh kipoozeo amekujaje hapa?Kademu kenyewe kakali. Hako kukatafuna na kufunga goli kabisa siyo dhambi. Hata Sheikh Kipoozeo angekapenda maana kanaonekana hata "Mambo ipo huko"
Anapenda Wo Wo WoTafadhali uwe na heshima na imani za watu.Sheikh kipoozeo amekujaje hapa?
Umejuaje?Anapenda Wo Wo Wo
Nenda kaangalie videos zake anaeleza wazi kabisa Wo Wo Wo ni neema za Allah hivyo tuzipende ili tupate thawabu!Umejuaje?
Shut up...you shithole!Shithole ni wewe unayefikiri kila akisemacho mzungu kinatoka kwa Mungu au ndio sahihi? Huyo Trump ana tuhuma ngapi za uzinifu? Clinton hakuchepuka ikulu na mtoto mkali Monica au ulikuwa unafikiri mb** na nyege tuliumbiwa waafrika peke yetu? Kama wewe ni me na sio hanithi huwezi shangaa hili.