Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,242
- 88,087
Kumbe cha muda hivyo.Umeona eeee.. kabisa hata majanini atakula tu mzigo akiamua..
Kideo kilirushwa youtube Sept '17
Kumbe cha muda hivyo.Umeona eeee.. kabisa hata majanini atakula tu mzigo akiamua..
Kideo kilirushwa youtube Sept '17
Mm mwenyewe nmejiuliza haka kadada kana akili gani kichwani?! Maana anachofanya hapo ni kumchokoza mke wa Kingu huku akijifanya kumsifia ni very humble wakat anasema hajawahi kuongea nae sijui nn,sasa alijuaje tabia za huyo mama?.Mkuu Ki Mun, kwanza nianze kwa kulaani kitendo kilichofanywa na huyu kicheche kwenye mahojiano hayo, japo ni Mrembo wa sura na umbo, lakini kichwani ni mtupu kabisa!, kitendo cha kuzaa na mume wa mtu, huku mke hajui, halafu anakuja mbele ya kamera na kujiproud ni ujinga uliopitiliza, hivyo kuitwa kuitwa gold digger ni kupendelewa, jina halisi alipaswa kuitwa mala.. mbwa, na mvunja ndoa za watu!. Atakayeoa huyu dada, amekula hasara!.
Tukija kwenye hili la wanaume kutoka nje ya ndoa na kuwa na nyumba ndogo, sio tuu wanasiasa, bali wanaume wengi wa ki Afrika, kutoka nje ya ndoa ni jambo la kawaida sana kwa sababu, an African man is polygamous by nature, hii ndio asili yetu!, hizi ndoa za mke mmoja ni man made by wazungu tuu, hata Bible, hakuna mahali Mungu amekataza ndoa za wake wengi, hivyo wanaume wote wa kiAfrika ambao hawajawahi kutoka nje, ndio wana ji pretend against human nature ya wanaume wa Africa!. Hili nimelizungumza hapa
Pongezi Rais Wetu Magufuli Kwa Kuwa Mkweli Daima, Tuanzishwa The Church of Africa, Tuoe Wake Wengi!.
Paskali
Mbona unajichanganya atamuoaje mke wa pili kama mkewe amekufa?!Sijawahi ona umeandika kama hivi. Tukisema tuanze waliozalishwa na waume za watu tutakuta malaya wengi sana. Kingu alimdanganya huyo dada atamuoa mke wa pili sababu ndoa yake na mke wake imekufa na alishampeleka mpaka kwake. Kingu alikua wazi kabisa kwenye relationship yake na Nicole. Alikua anamuweka dp anampeleka anakaa na watoto wake. Mwananke yeyote ukimuaminisha hivi ukimuomba kuzaa hawezi kataa. Ni kosa amefanya ila Kingu alimsababishia hivi.
Namjua Kingu sana kabisa. Kwa taarifa yako sasa hivi ana mwanamke mwingine nae akija kushtuka atajikuta anamtamani Kingu kama hivi.
Mke wake yuko hai ila alimwambia ndoa yake inakufa hivyo anataka kumuoa yeye. Kingu ni muongo sana mwanamke ukiwa sio mjanja unaingia kwenye mtego wake unabaki na majuto mwishoni. Na anajua kuwadanganya sababu anawahonga sana. Huyu dada alichokosea ni kujua Kingu anamdanganya na bado akajiweka karibu na mke wa Kingu eti ni baba yake wa kirohoMbona unajichanganya atamuoaje mke wa pili kama mkewe amekufa?!
Huyi dada kwny video anasema anamjua mke wa kingu ina maana alikuwa anajua uovu anaoutenda vizuri sana
Pascal yupo sawa kbs huyu ni mala.. tu
Amesema wanasiasa wengi wa Tz!Kwenye mademu hamna cha CCM wala UKAWA.
Kabisa,yaani ni upuuzi tuHuyo kingu atapata muda wa kulea Huyo mtoto. ...? Mwisho ni taifa lisilokuwa na malezi yeyote, lisilo wajibika bado sisi waafrika tutasubiri sana. Mnasifia michepuko na kuhalalisha upuuzi. Acha trump atutukane ndiyo tunayoweza
Mzigua, usitete ujinga!, sijasema kila aliyezaa na mume wa mtu ni mala..., kanisome tena uiangalie hoja ya umala... wa huyo kicheche!. Mwanamke mwenye akili timamu, huwezi zaa na mume wa mtu, mke hajui, unakwenda kwenye media na kujiproud kuhusu huyo mwanaume, kisha unamtaja mwanaume mwingine uliyetoka naye, kisha una jiproud umevishwa pete!, hao wanaume wawili waliotajwa proudly, wametajwa kwa sababu ni al maaruf, kwenye her list, wamepita wangapi?. Kuna mambo mengine ni personal na private matters sio lazima kuyaweka in public, unajivunjia heshima!.Sijawahi ona umeandika kama hivi. Tukisema tuanze waliozalishwa na waume za watu tutakuta malaya wengi sana.
Ndoa kufa mbona haichukui hata siku 3 kama kweli unaamua kumuacha mtu haiwezekani mtu anakwambia ndoa inakufa halaf kila siku anarudi kulala kwa mkewe.Mke wake yuko hai ila alimwambia ndoa yake inakufa hivyo anataka kumuoa yeye. Kingu ni muongo sana mwanamke ukiwa sio mjanja unaingia kwenye mtego wake unabaki na majuto mwishoni. Na anajua kuwadanganya sababu anawahonga sana. Huyu dada alichokosea ni kujua Kingu anamdanganya na bado akajiweka karibu na mke wa Kingu eti ni baba yake wa kiroho
Hapa nimekuelewa sasa. Kwanza hakutakiwa kukubali kabisa kama ni kweli sababu sio kitu kizuri kwenye jamii yetu.Mzigua, usitete ujinga!, sijasema kila aliyezaa na mume wa mtu ni mala..., kanisome tena uiangalie hoja ya umala... wa huyo kicheche!. Mwanamke mwenye akili timamu, huwezi zaa na mume wa mtu, mke hajui, unakwenda kwenye media na kujiproud kuhusu huyo mwanaume, kisha unamtaja mwanaume mwingine uliyetoka naye, kisha una jiproud umevishwa pete!, hao wanaume wawili waliotajwa proudly, wametajwa kwa sababu ni al maaruf, kwenye her list, wamepita wangapi?. Kuna mambo mengine ni personal na private matters sio lazima kuyaweka in public, unajivunjia heshima!.
P.
Kale ka wazo??Kwani kale ka madini baba yake ni nani?
There you, sisi wanaume wengi tumezaa nje na wake zetu hawajui, the more discreet you are, they more you'll reap and well taken care off, ujinga wa huyu dada ni kama kama ule wa kicheche cha Mondi, angalau kile kina kaji uhalali kuwa kame leakisha picha, ila yule bibi aachie, waachane ili yeye ndio aolewe!, lakini kwa mume wa mtu, huku ni kumdhalilisha Mhe. Mbunge, mkewe na yeye kujidhalilisha!.Hapa nimekuelewa sasa. Kwanza hakutakiwa kukubali kabisa kama ni kweli sababu sio kitu kizuri kwenye jamii yetu.
Si umesemea Kingu na mkewe walikua kwenye mparanganyiko na alisharudishwa kwao ?Yule mwanamke jamani hastahili mwanaume wa vile hata kidogo. Halafu ni mzuri. Na haamini baya lolote kuhusu mumewe. Hata mwanamke wa sasa wa Kingu yule mama anamjua ila kadanganywa yule mwanamke ni dada yake Kingu wanatoka wote Singida.
Uko sahihi PaskoThere you, sisi wanaume wengi tumezaa nje na wake zetu hawajui, the more discreet you are, they more you'll reap and well taken care off, ujinga wa huyu dada ni kama kama ule wa kicheche cha Mondi, angalau kile kina kaji uhalali kuwa kama leakisha picha, ila yule bibi aachie, waachane ili yeye ndio aolewe!, lakini kwa mume wa mtu, huku ni kumdhalilisha Mhe. Mbunge, mkewe na yeye kujidhalilisha!.
P.
Poa, tuje kwako, wewe ni Mzigua kweli kwa kabila, au ni jina tuu la jf?.Uko sahihi Pasko
Wanasiasa wengi TZ hawaheshimu kabisa familia zao...Mfano huyu Emmanuel Kingu, ana ndoa lakini bado ana michepuko kibao akiwemo Miss Shinyanga 2014, Nicole Franklin ambaye katika video hii anaongea proudly kabisa kwamba Kingu ndiye Baba mtoto wake, pamoja na kujifanya anamhurumia mke wa Kingu...wacha Trump awaite shitholes
Ndio KanaliKale ka wazo??
Pasko unaanza kuleta tamaa?Poa, tuje kwako, wewe ni Mzigua kweli kwa kabila, au ni jina tuu la jf?.
P.
Mkuu St Ivuga, nimeuliza tuu.... mimi ni binadamu, na yeye pia ni binadamu, sote ni binadamu, kufahamiana ni muhimu huwezi jua!.Pasko unaanza kuleta tamaa?