Hii ni habari muhimu kwa zama hizi za kusifu na kuabudu.Rejeeni kauli Bungeni na viongozi waandamizi wote." Tunamshukuru sana Mh.Rais Magufuli kutupatia fedha... Tsh....." Ipo siku wananchi chini ya katiba bora watadai hudumu za msingi na si kuomba ama hisani ya watawala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.