beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mbunge wa Jimbo la Mkinga, Dunstan Kitandula amesema bado kuna madeni makubwa ya Wazabuni waliofanya kazi STAMICO na Kampuni zake tanzu. Asema zoezi la Serikali kutathmini madeni hayo limefanywa kwa muda mrefu
Amesema, "Vyombo vyetu vimefanya kazi hii, Tuache kigugumizi cha kuwalipa wazabuni wale. Twende tukawalipe kwa haki tusitumie ujanja wa kukwepa madeni"
Amesema, "Vyombo vyetu vimefanya kazi hii, Tuache kigugumizi cha kuwalipa wazabuni wale. Twende tukawalipe kwa haki tusitumie ujanja wa kukwepa madeni"