Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,833
- 18,829
Mbunge wa viti maalum Agnes Marwa amesema kutokana na tabu ya maji wanawake wanayoipata hadi wanashindwa kutoa 'penzi' kwa waume zao basi ni bora hela za makinikia zitakapokuja zitumike kuboresha huduma ya maji
My Take:
Kumekuwa na wananchi wengi wakisema zitanunulia Noah lakini Noah sio hitaji la msingi kwenye nchi yenye shida ya maji kiasi hiki
My Take:
Kumekuwa na wananchi wengi wakisema zitanunulia Noah lakini Noah sio hitaji la msingi kwenye nchi yenye shida ya maji kiasi hiki