Huyu mama ni mweupeee na alipewa jimbo kama shukrani kwa kazi alomfanyia mkulu.unabishaaaaa
Alimuhonga mpinzani akajitoa dakika za mwisho wakati wa uchaguzi.
Anayemtetea alete Cv yake kabla ya kugombea kama amewahi kufanya harakati yoyote ya kisiasa.
Mengine wana Missenye mje hapa muongeze.
wapili ni mama yangu Bernadeta Mshashu kwakweli mama umeshusha hadhi yako bora ungebaki katika ualimu wako tu.