Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Dunia kama kijiji,
Hakuna siri siku hizi, TUTAJUA TU.
Hakuna siri siku hizi, TUTAJUA TU.
mzurimie
unajua wabongo huchukulia vitu rahisi rahisi na ndiyo maana mnapublish mambo bila ushahidi matokeo yake mnaishia kusaidia kwenye investigation bila kujua.Computer crime inaweza ikachunguzwa kutokea popote pale duniani. Jamani muwe mnajisomea.Mfano unavyojiaminisha kuwa huyo mama ana uraia wa Marekani, una uhakika? Ni vizuri mtu ukatafuta kwanza proof ya unachokiandika vinginevyo unaweza kuaibika. Kuwa makini Marekani siyo kama bongo ambapo mambo kama haya hayafuatiliwi.Kumbuka huyu mama sasa hivi yuko Maryland akiandaa mkutano wa chadema na ukumbuke aliishi na kufanya kazi US kwa zaidi ya miaka kumi.Hapa yeye si mgeni pamoja na kwamba tangu awe mbunge makao yake ni Dar.Kumbuka kuwa ana haki ya kuwa kiongozi Tanzania kama raia wa nchi hiyo. Inaonakana watanzania hawapendi watanzania wanaoishi kwenye diospora kurudi nyumbani na kugombea nafasi za kisiasa. Hii ni haki yetu . Kwanza nampongeza huyu mama pamoja na kwamba yeye ni mbunge, lakini amekumbuka alikotoka na ametumia muda wake kuandaa mkutano ili wabunge wa chadema wapate nafasi ya kuongea na watanzania waishio Marekani.She is not selfish kwani kuna wabunge wengi tu waliotokea nje ya tanzania lakini hawajafikiria kuwafuatilia watanzania walioko nje ya nchi.
She is right, siyo mtu unakurupuka bila evidence kwa interest zako unapost majungu JF, kwanza unajidhalilisha mwenyewe pili unaishushia hadhi JF na members wake.
Greenbelt Police Report: March 23 - March 28 - Greenbelt, MD Patch
March 26 at 2:11 a.m.: Disorderly Conduct. 6000 block Springhill Drive. Leticia M. Nyerere, 53, of Landover, and Florence Mageni, 45, of Greenbelt, were arrested and charged with Disorderly Conduct. The suspects were released on citations pending trial.
Go figure!
Greenbelt Police Report: March 23 - March 28 - Greenbelt, MD Patch
March 26 at 2:11 a.m.: Disorderly Conduct. 6000 block Springhill Drive. Leticia M. Nyerere, 53, of Landover, and Florence Mageni, 45, of Greenbelt, were arrested and charged with Disorderly Conduct. The suspects were released on citations pending trial.
Go figure!
May 18, 2012 | By Leticia Nyerere
VICIOUS SCAM and FALSE ARREST
It is my responsibility to clarify to my Supporters and valuable people of Tanzania in Diaspora and at home of a recent vicious attack labeled on me. My name was scandalized, assassinated and used by scam artist with the intention to reap off honest citizens of Tanzania in Diaspora, and in Tanzania. This false article was published in Jamii Forum, a social media for Tanzanian community on May 14, 2012.
I should also inform you that I have reported this scam and character assassination to the appropriate U S authority and investigation is on the way.
All these were due to a trumped up and unfounded charges labeled on me falsely. I expect these charges to be cleared by this press release.
I am using this opportunity to invite you to a live forum during the inauguration of our Party (CHADEMA) in Maryland, USA on May 27, 2012.
I can be reached at leticianyerere@rocketmail.com
source: vijimambo blog.
Mimi ???
Mbona sioni hiyo post humu?
Kwani huyu mama anaishi wapi hadi aripoti USA? na forum hii ni ya m/watanzania nadhani kila kitu kina run toka Tanzania au?
- My Friend Mheshimiwa. Leticia kama hii habari ya wewe kumshitaki member yoyote hapa JF ni ya kweli, basi utakuwa umenisikitisha sana hata mimi your friend, Siasa ni biashara kama ya utumbo ukiamua kuwemo ukubali harufu yake, sasa iweje tena leo uanze kushitaki wananchi na maoni yao ambao mshahara wako kama mbunge inategmea kodi yao??
- Please kama ni kweli naomba sana ukafute hiyo kesi, please nitafute tuongee au nipe your number huko nikupigie, lakini aliyekushauri ya kwenda kwenye sheria against JF, sio msahuri mwema kwako na jihadhari naye sana maana sasa unajichimbia kaburi kwenye hilo hata mimi don't count on my support na mimi nitakutwanga.
- So respect our friendship and drop it kama ni kweli, lets talk! you know kwamba tunaheshimiana sana mimi na wewe, again please drop it lets talk, wachana na kwenda kwenye sheria aginst JF, ni simply waste of your time and money haitakusaidia!
William.
Mkuu William, asante kwa hili. Huu ni ushauri wa maana sana kwa Mhe. Mbunge wetu, dada yetu na mwenzetu, kwake yeye binafsi, kwa chama chake, wapenzi wake na familia yake!.- My Friend Mheshimiwa. Leticia kama hii habari ya wewe kumshitaki member yoyote hapa JF ni ya kweli, basi utakuwa umenisikitisha sana hata mimi your friend, Siasa ni biashara kama ya utumbo ukiamua kuwemo ukubali harufu yake, sasa iweje tena leo uanze kushitaki wananchi na maoni yao ambao mshahara wako kama mbunge inategmea kodi yao??
- Please kama ni kweli naomba sana ukafute hiyo kesi, please nitafute tuongee au nipe your number huko nikupigie, lakini aliyekushauri ya kwenda kwenye sheria against JF, sio msahuri mwema kwako na jihadhari naye sana maana sasa unajichimbia kaburi kwenye hilo hata mimi don't count on my support na mimi nitakutwanga.
- So respect our friendship and drop it kama ni kweli, lets talk! you know kwamba tunaheshimiana sana mimi na wewe, again please drop it lets talk, wachana na kwenda kwenye sheria aginst JF, ni simply waste of your time and money haitakusaidia!
William.
- My Friend Mheshimiwa. Leticia kama hii habari ya wewe kumshitaki member yoyote hapa JF ni ya kweli, basi utakuwa umenisikitisha sana hata mimi your friend, Siasa ni biashara kama ya utumbo ukiamua kuwemo ukubali harufu yake, sasa iweje tena leo uanze kushitaki wananchi na maoni yao ambao mshahara wako kama mbunge inategmea kodi yao??
- Please kama ni kweli naomba sana ukafute hiyo kesi, please nitafute tuongee au nipe your number huko nikupigie, lakini aliyekushauri ya kwenda kwenye sheria against JF, sio msahuri mwema kwako na jihadhari naye sana maana sasa unajichimbia kaburi kwenye hilo hata mimi don't count on my support na mimi nitakutwanga.
- So respect our friendship and drop it kama ni kweli, lets talk! you know kwamba tunaheshimiana sana mimi na wewe, again please drop it lets talk, wachana na kwenda kwenye sheria aginst JF, ni simply waste of your time and money haitakusaidia!
William.