Mbunge amwaga razi bungen

Nachelea kusema kuwa huu muungano utadumu tena MIAKA 20
 
Jaman jaman jaman!!!!!!!!!!!!!!!! Chokochoko Hizooooooooooooooooo?????????????????
 
Hivi tunafaidika nini na muungano?
Wao hawataki viongozi wetu wanaung'ang'ania wa nini?na je tukitengana tutapungukiwa na nini?
 
Hivi tunafaidika nini na muungano?Wao hawataki viongozi wetu wanaung'ang'ania wa nini?na je tukitengana tutapungukiwa na nini?
Tunafaidika na usalama, maana bila Muungano Zanzibar itakuwa Somalia na Somaliland!
 
Wazanzibari wabishi kweli kweli kila siku kelele na lawama kibao kama vp tuwaachie nchi yao
 
hawa si ndo wale wakati wa vita vya kagera walikuwa hawatski kupita porini eti yakhee nani apite kwenye mijiporii tupite huku kweupee hata adui tutamwona. sasa kwa mdebwedo huo imagine anakutana na kamanda wake ni muraaa hilo kwata wataweza kweli? watu washazoea urojo
 
mkimaliza ubara na uzanzibari mtaleta ukabila haitaishia hapo mtauliza mbona ukoo wetu wenye historia ya miaka 1000 haina mwenye nyota,jeshi linaangalia uwezo wa mtu pale sio kwenye ubunge wa viti maalum eee!!!
 
Jeshini hao jamaa ni makamanda wa ukweli WAKIAMUA tatizo lao huwa wanasumbuliwa sana na ugali wanasema jaaaamaaa kila siku sembe sembee sembeee hata ubwawa hamnaaaaaaaaaaa.....(badili mwenyewe iwe na ile tune ya kipemba)huwa ni wabishi sana hiyo inasababisha wanachukiwa wanaitwa Wanajeshi miche lakini ukamanda wanaweza...
 

Hiki ndio kielelezo cha watu ambao HAWAJUI wakaongee nini bungeni.Wameswagwa tu hawajui kitu na uelewa wao wa nchi hii ni taabu tupu.
Heri Wazanzibari hawa warudishwe makwao na waishie kule Baraza la Wawakilishi.
Huyo aliyeongea hivyo si ajabu anawakilisha watu 1000 hadi 2000.
Ukilinganisha na majimbo kama ya Dar es salaam yenye matatizo lukuki hii ni kuchezea demokrasia
 
Ohhh! kumbe ndivyo mlivyo nyiee hampenzi wa znz? yani mnamanisha kazi ya jeshi hawaiwezi? wa bara waweze wananini hata znz washindwe wananini? na kula mbatata za urojo ni kitu ambacho mtu anapenda haijahusu wadhifa, inamana wanao piga kwata wanakula Ugali au makande?
ebu msiwashughulishe kama mnataka wapeni muone.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…