Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 15,882
- 20,733
Ukileta hoja za kijinga unategemea majibu gani yanayolenga hoja zako ya kijinga?Upo msemo wa Kingereza usemao,"foolish answers for foolish questions."Chongolo anatakiwa kuwa na hekima Sana ktk kuwajibu wabunge wa chama chake. Huyu ni mbunge, ana hadhi yake. Hata kama hoja yake inaleta maudhi lkn Chongolo kwa nafasi yake hakupaswa kutoa majibu ya kidikteta kiasi hiki.
Tisizilee kauli za kibabe kiasi hiki.