Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,867
Wamesema kura zao zote ni kwa Mh. Magufuli.
Ni haki yao, wako huru kuamua wanayemtaka kwa kupiga kura sio kusema tu. Tusubiri tuone baada ya 25-10-2015.
Wamesema kura zao zote ni kwa Mh. Magufuli.
Huyu jamaa Post zake uwa zinakosa wateja kabisa,ikitokea mtu kuchangia basi ni 'kumchamba' tu.CCM OUT
Rais wa Tano ni John MagufuliNi haki yao, wako huru kuamua wanayemtaka kwa kupiga kura sio kusema tu. Tusubiri tuone baada ya 25-10-2015.