Mbulu wamsabaratisha Lowassa

Mbulu wamsabaratisha Lowassa

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
b19.jpg


01.jpg
 
huyu jamaaa huwa simwelewi hata kidogo hii post haitafikisha hata wachangiaji 5 ukitoa na mimi
 
Mnasema hakuna anayechangia kumbe kuandika ti mmeshachangia! Hahahaa
Kweli mgombea wenu yuko sahihi na elimu ianzie kwenu!
 
Magufuli atashinda kwa kua anajua kura za watanzania zinapatikana wapi na kina nani ni wapiga kura na yeye ndo anadili nao,
wakati ukawa wanaamini zaidi katika mafuriko ambayo ukichunguza kwa undani wengi wao c wapiga kura na wengine hata kadi hawana.
 
Magufuli atashinda kwa kua anajua kura za watanzania zinapatikana wapi na kina nani ni wapiga kura na yeye ndo anadili nao,
wakati ukawa wanaamini zaidi katika mafuriko ambayo ukichunguza kwa undani wengi wao c wapiga kura na wengine hata kadi hawana.

Hata kama wote wana kadi .. kati ya watu tuseme elf 20 wanaokusanya katika eneo lenye wakazi ya laki 4 hiyo ni % ngapi hata wakimpigia wote kura?
Tatizo hawajielewi wanataka kumfurahisha tu bosi wao kwa macho!
 
Huyu jamaa Post zake uwa zinakosa wateja kabisa,ikitokea mtu kuchangia basi ni 'kumchamba' tu.CCM OUT
Wewe teyari ni mteja na hii post inakunyima usingizi, maana ukilala unamuota Magufuli Rais wa Tano.
 
huyu jamaaa huwa simwelewi hata kidogo hii post haitafikisha hata wachangiaji 5 ukitoa na mimi
Huwezi kunielewa kwababu wewe unatumia mahaba kwa Lowassa. Anza kutumia akili yako ndio unazinduka na kuja CCM. Mbulu wamsambaratisha Lowassa.
 
Magufuli atashinda kwa kua anajua kura za watanzania zinapatikana wapi na kina nani ni wapiga kura na yeye ndo anadili nao,
wakati ukawa wanaamini zaidi katika mafuriko ambayo ukichunguza kwa undani wengi wao c wapiga kura na wengine hata kadi hawana.
Ndio Kiongozi, umeweka mambo sawa. Magufuli ndio maana anawafuata huko huko vijijini walipo. Safi sana kiongozi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom