Mbuga ya Burigi - Chato

Mbona hujaongelea hali ya hewa ya mbuga ambazo wayama wamesombwa kupelekwa chato ?Je hali ya hewa inafanana ?Au tofauti ?Na kama tofauti hao wanyama watasurvive vipi ?
Hao wanyama walikuwepo tena wengi Sana Ila Kwa sababu ilikuwa mbuga Tu majangiri hasa wa rwanda. waliwaua wote.
 
Nitakuja kutembelea

Tupe info zaidi za sehemu za kufikia watalii.. malazi na kula kula n.k.
 
Whaaaaaaat? Mvua misimu mitatu kwa mwaka?! Kumbe JPM anaona mbali sana manake kama ndivyo, basi Dremliners na Bomberdiers zetu hazitakosa mzigo wa mahindi, ufuta na pamba na hivyo kuifanya Chato International Airport kuwa economically and commercially potential!

I wish Serengeti National Park ingekuwa Chato manake ikiwa mbuga ya kichina ya Burigi tu inajengewa international airport, ile Serengeti si ndo ingejengewa uwanja wa juu kwa juu kabisa?! Au mi sijaelewa?
 
Kwenye ilani ya ccm haya ya uwanja na hifadhi yamo?au kangi lugola huwa anajipendekeza tu na mishati mikuubwa yenye mavilaka
 
Mmm yajayo yanafurahisha. Ecosystem ya sehemu inaruhuru Hao wanyama. Kingwa usikute mnamfurahisha Rais huku mkitoka jasho jembamba mkijisemea tutafanya kl kitakachomfurahisha. Mengine atajua mradi watoto wanaenda Chooni hasara ni Ya wavunja jasho
Utakuwa mchaga tu wewe..!
 
Mheshimiwa vp bado uko chato ??
Hujapanda dreamliner kurudi dar ??
 
Pedestrian Promotion and Justification.

Kama huku ndiko kuthibitisha mahitaji ya matumizi makubwa ya raslimali bila ya kufuata taratibu na kuwepo mipangilio maalum ya miradi hiyo, ni bora zaidi kukaa kimya kuliko kuonyesha maelezo yasiyokuwa na mantiki kama haya.
 
Jamaa angeweza kuhamisha mlima Kilimanjaro angehamisha uwende Chato
Kuwa na subira mkuu.

Toka 'Mataa ya kuvusha Punda' hadi 'JPM International Airport' hiyo sio haba!

Ngoja tusubiri yajayo, pengine hata kama si kuuhamisha mlima Kilimanjaro, tunaweza tukajenga 'artificial' Kilimanjaro, kwani shida ni nini?
 
Kama nawaona watu wa Butiama,wanavyomlaani mzee Mchonga(nywele nyeupe).Miaka 25 nadhani wangekuwa kama Nairobi.Ndio hivyo tena mzee alikuwa mzalendo na mtaifa sana.Mambo yanayofanyika Chattle ndani ya miaka 3 si mchezo aisee.
 
Mbuga FAKE ya dikteta na nduli. Haendi mtu huko usweken kapeleka wa nyama ili hotel yake ipate wateja. Pamoja na hirizi zake hotel itapata wateja kiduchu sana kutokana na laana ya Mwenyezi Mungu kuhusu maovu yake mbali mbali.

 
Na Coco Beach yetu
 
Mbuga FAKE ya dikteta na nduli. Haendi mtu huko usweken kapeleka wa nyama ili hotel yake ipate wateja. Pamoja na hirizi zake hotel itapata wateja kiduchu sana kutokana na laana ya Mwenyezi Mungu kuhusu maovu yake mbali mbali.
Mbona hirizi za nduli mbowe wa chadema huzisemi?
 
Nazareti ya Tanzania! mtalii wa kwanza Rais!! kenya - Taaa. wee na kuweka mazingira ya nazareti Dream liner ikatua!! ili kuondoa wasiwasi wa madege kwenda nazareti!! mweeee!!!!!
 
Hii kitu umeikopi kama ilivyo kutoka kwa




 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…