Mbowe waombe radhi Watanzania..!!

Mbowe waombe radhi Watanzania..!!

Habari ya Mujini

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2013
Posts
2,518
Reaction score
1,045
Nimesikitishwa na kauli ya mwenyekiti wa chadema usiku huu wakati nikitizama taarifa ya habari ya saa mbili usiku kupitia kituo cha ITV nilipomsikia Mbowe akisema eti UKAWA wamekuwa wakidai katiba mpya kwa miaka 25 sasa,,wanajamvi naomba mnisaidie ivi vyama vya Upinzani vina miaka 25 tangu kuanzishwa kwake?
 
Wewe ndiye utuombe radhi, taarifa ya habari ITV inaanza saa mbili sasa wewe umeiona wapi? Sasa ni saa moja na dakika 42 usuku. Mmechanganyikiwa na ukawa?
 
ITV ya wapi hiyo mkuu? Mana sasa hivi ni saa moja usiku na taarifa ya habari ni saa mbili kamili usiku! Napata wasi wasi umetunga mzee labda sema vizuri kilikuwa ni kipindi gani??
 
Wewe ndiye utuombe radhi, taarifa ya habari ITV inaanza saa mbili sasa wewe umeiona wapi? Sasa ni saa moja na dakika 42 usuku. Mmechanganyikiwa na ukawa?

Tumepost pamoja na maswali yakafanana!! Hii homa ya Ukawa inaonekana si mchezo
 
Hata kama si miaka 25 aombe radhi kwa kosa gani? Kwa hesabu zangu ni miaka 22 sasa tangu tuwe na multiparty system.
 
Nimesikitishwa na kauli ya mwenyekiti wa chadema usiku huu wakati nikitizama taarifa ya habari ya saa mbili usiku kupitia kituo cha ITV nilipomsikia Mbowe akisema eti UKAWA wamekuwa wakidai katiba mpya kwa miaka 25 sasa,,wanajamvi naomba mnisaidie ivi vyama vya Upinzani vina miaka 25 tangu kuanzishwa kwake?
Mh! uongo mwengine hauna kichwa wala miguu.
 
Nimesikitishwa na kauli ya mwenyekiti wa chadema usiku huu wakati nikitizama taarifa ya habari ya saa mbili usiku kupitia kituo cha ITV nilipomsikia Mbowe akisema eti UKAWA wamekuwa wakidai katiba mpya kwa miaka 25 sasa,,wanajamvi naomba mnisaidie ivi vyama vya Upinzani vina miaka 25 tangu kuanzishwa kwake?

Pilau imekulevya nn
 
Wewe ndiye utuombe radhi, taarifa ya habari ITV inaanza saa mbili sasa wewe umeiona wapi? Sasa ni saa moja na dakika 42 usuku. Mmechanganyikiwa na ukawa?
haa haa mkuu si unajua mainterahamwe wamechanganyikiwa? Hawana jipya ukawa songeni mbele, nyuma mwiko!
 
ITV ya wapi hiyo mkuu? Mana sasa hivi ni saa moja usiku na taarifa ya habari ni saa mbili kamili usiku! Napata wasi wasi umetunga mzee labda sema vizuri kilikuwa ni kipindi gani??
teh teh, mkuu inawezekana itv ya korido za lumumba!
 
Hao ni manabii wa Sisieem, anatabiri na kuagiza mtu ambombe msamaha Hata kabla ya kufanya jambo!
 
Inawezekana intelejensia yake iliinasa taarifa ya ITV kabla hajarushwa.
 
Nimesikitishwa na kauli ya mwenyekiti wa chadema usiku huu wakati nikitizama taarifa ya habari ya saa mbili usiku kupitia kituo cha ITV nilipomsikia Mbowe akisema eti UKAWA wamekuwa wakidai katiba mpya kwa miaka 25 sasa,,wanajamvi naomba mnisaidie ivi vyama vya Upinzani vina miaka 25 tangu kuanzishwa kwake?

Vyama vya siasa vina miaka zaidi ya 30 tangu kuanzishwa kwake 1992. Wewe indio uimbe radhi kwa waTZ.
Mmechanganyikuwa sana UKAWA na elimu yenu ya DIV 5.
 
Vyama vya siasa vina miaka zaidi ya 30 tangu kuanzishwa kwake 1992. Wewe indio uimbe radhi kwa waTZ.
Mmechanganyikuwa sana UKAWA na elimu yenu ya DIV 5.

Tukishika dola tutaruhusu gongo lipikwe kitaalamu. Mi napita
 
ITV ya wapi hiyo mkuu? Mana sasa hivi ni saa moja usiku na taarifa ya habari ni saa mbili kamili usiku! Napata wasi wasi umetunga mzee labda sema vizuri kilikuwa ni kipindi gani??
Labda aliwekewa mkanda wa video
 
Mda wowote sehemu yoyote,mwanasiasa ataongea chochote na hazuiwai na yoyote. iwe uongo,uzushi,upuuzi lkn kwa malengo maalum mwanasiasa atabaki hivyo alivyo.aibu ni kwa wale wanaojiita wasomi.
 
Back
Top Bottom