Mbowe: Tatizo la Upinzani ni kukosa uvumilivu wa kusubiri, Wabunge wakishapoteza Kipato

Patriot missile

JF-Expert Member
Jun 16, 2024
261
412
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema;

"Moja wapo ya changamoto kubwa tunayoipata kwenye Vyama vyetu vya Upinzani ni uvumilivu wa watu kusubiri miaka mitano, kumi, ishirini. Wanapokuwa wabunge, kwa mfano, hakuna kipindi tumejua ndani ya Chama kama kipindi hiki ambacho hatuna wabunge. Ukiangalia wote wanaopiga kelele hawa, awe Msigwa, awe Lema, awe Heche, awe Lissu, hawa watu wamekuwa Wabunge kwenye Chama chetu wote kwa zaidi ya miaka. Walivyokuwa Wabunge, wanakipato cha uhakika, wana nafasi kwenye Bunge kiserikali kwa kiwango fulani. Huko ndiko hakupati hiyo kelele."
Soma, Pia
 
===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.

Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.

===
Hebu mhurumieni Mbowe.
Kwani kwenye hayo maongezi yake na wanahabari kila kukicha, huwa hasemi vipaumbele vyake endapo atakabidhiwa mitano tena?

Naona mnachagua zile futuhi zake na kuzimwaga mitandaoni

Tupeni japo hata point moja ya msingi anayowaahidi wanaCHADEMA
 
Kwa hiyo anataka kusema ukiwa kiongozi mkubwa Chadema njaa kwako ni mwisho...

Hivyo hata yeye anang'ang'ania madarakani ili aendelee "kula"...

===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.

Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.

===
 
===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.

Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.

===
NI kweli kayasema haya au unamsemea?.
 
===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.

Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.

===
Mbowe kawa mjinga sana!
 
===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.

Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.

===
Kama kweli Mbowe amesema hivyo basi ni mpumbavu kabisa,yaani Lissu kugombea uenyekiti ndiyo yote haya yanamtoka.
 
===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.

Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.

===
Mwenyekiti ndio tumerika huko tena..
 
===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.

Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.

===
Ni kweli njaa haina ushujaa ndio maana Mbowe anaiogopa na kung'ang'ania uenyekiti.CCM wenyewe hawajawahi Shiba tangu wayakwae madaraka.
 
Mbona hiyo ni reasoning ya kipumbavu sanaa isio stahili kutolewa na mwenyekiti wa chama.
Nimemaliza kuangalia hiyo exclusive interview ya Mbowe almost one hour, usilishwe matango pori.

Anayeta kujuwa Mbowe ni jiniazi
atafute hiyo interview Youtube umsikilize mwenyewe jamaa alivyo na utulivu mkubwa na wala hafokifoki.

Na ukitumia tu common sense ya hiyo interview Mbowe anachaguliwa tena.
 
Ndiyo
===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.

Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.

===
 
ni yeye katamka? siamini.

JESUS IS LORD&SAVIOR
Leo ndio nimeamini JF imejaa upotoshaji, ukimsikiliza Mbowe direct utamuelewa vizuri sana, siyo hawa wanaotafuta heading za kuleta taaruki Mbowe amewaongelea kwenye interview yake, watu kumi wanaweza kutumia AI kutuma comment 1000 kuleta taharuki kwenye jamii kumbe ukweli haupo hivyo.

Mbowe ana kitu cha ziada.
 
===
Akizungumza katika kipindi Cha Morning Trumpet Mwenyekiti anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amesema wakati akina Lemma, Lissu, Heche na Msingwa wakiwa wabunge hawakuwa na kelele hizi za kutaka madaraka.

Mbowe anafikiri kinachoendelea ndani ya CHADEMA sasa ni matokeo ya Vijana wake kuwa na Uchumi mbaya (njaa) ndio sababu wanataka kumwondoa leo.

===
Mhmmmm....lete ushahidi wenyekiti kafika huko!???
 
Back
Top Bottom