Ng'azagala
JF-Expert Member
- Jun 7, 2008
- 1,286
- 221
tusiwe tunadanganyana hapa CHADEMA inapata umaarufu kwa sababu ya Dr. Slaa na si Mbowe
huyu Mbowe alishakuwepo huko nyuma na akagombea na Uraisi hakuwa na msisimko wowote.
wewe fikiria CDM bila Dr Slaa - ndiyo itakuwa mwisho wake!
better kulinganisha JK na Dr. Slaa kidogo itaeleweka na si vinginevyo
otherwise JK is better
huyu Mbowe alishakuwepo huko nyuma na akagombea na Uraisi hakuwa na msisimko wowote.
wewe fikiria CDM bila Dr Slaa - ndiyo itakuwa mwisho wake!
better kulinganisha JK na Dr. Slaa kidogo itaeleweka na si vinginevyo
otherwise JK is better