Mbowe usiwachukue walioachwa na CCM

Mbowe usiwachukue walioachwa na CCM

2013

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
11,361
Reaction score
6,080
Nashauri cdm isiwachukue wale wote waliotemwa na ccm dodoma. Lengo ni kuepusha minyukano ya chuki Na uhasama wa kivyama. Kwakua sikuzote wajue anaewatoa Kule ndiye mwenye nchi.
Na mienendo yake sio migeni kwa upinzani.

Pia Tumeona jinsi wabunge wa chamadola walivyotoa ushirikiano Katina Sakata la bashite.

Nadhani ni vyema kuwaheshimu kwa hatua walizochukua Katika Chami Chao ili huko bungeni waendelee kunyukana ili washindwe kujua Nani hasa anawatafuna.
Mkiwachukua mnawapa sababu ya wao kuwaona kue nyie ndio masnitchi wao. Mwishowe Wataungana na kuunga mkono hoja hata za kipuuzi ili kuwakomoa.

Nawasilisha
 
Mhe. Mbowe amani iwe kwako. Fukuzafukuza inayoendelea huko Dodoma itaathiri pa kubwa sana mwenendo wa chama hicho. Tutegemee kupata makapi mengi sana kutaka kujiunga na Chadema. Nikuombe usiwapokee wanachama hao maana yatavuruga sana chama chetu. MTU pekee ambaye anatakiwa kupewa kadi endapo atafukuzwa na CCM ni Bashe. Hussein Bashe ni mtu anayejitambua nadhani kwangu Mimi kati ya wachama wa ccm wote huyu ndiyo mwenye akili timamu. Mpokee kwa mikono miwili. Usijaribu kupokea wengine waliotemwa na kamati ya CCM.
Maoni yangu.
 
Kila mtu ana faida na hasara hapa duniani,hata angekuwa mtendaji wa kijiji ni wa kupokea maana anawafuasi kinachoangaliwa ni wafuasi wa mtu hata wakiwa wawili.
CDM pokea yoyote atakayekuja kujiunga na chama,Haba na haba hujaza kibaba!
CDM ni chama cha wote!
 
Nashauri cdm isiwachukue wale wote waliotemwa na ccm dodoma. Lengo ni kuepusha minyukano ya chuki Na uhasama wa kivyama. Kwakua sikuzote wajue anaewatoa Kule ndiye mwenye nchi.
Na mienendo yake sio migeni kwa upinzani.

Pia Tumeona jinsi wabunge wa chamadola walivyotoa ushirikiano Katina Sakata la bashite.

Nadhani ni vyema kuwaheshimu kwa hatua walizochukua Katika Chami Chao ili huko bungeni waendelee kunyukana ili washindwe kujua Nani hasa anawatafuna.
Mkiwachukua mnawapa sababu ya wao kuwaona kue nyie ndio masnitchi wao. Mwishowe Wataungana na kuunga mkono hoja hata za kipuuzi ili kuwakomoa.

Nawasilisha

Haaahaaa, waende wapi sasa wakati huko ndiko nyumbani kwao
 
Nashauri cdm isiwachukue wale wote waliotemwa na ccm dodoma. Lengo ni kuepusha minyukano ya chuki Na uhasama wa kivyama. Kwakua sikuzote wajue anaewatoa Kule ndiye mwenye nchi.
Na mienendo yake sio migeni kwa upinzani.

Pia Tumeona jinsi wabunge wa chamadola walivyotoa ushirikiano Katina Sakata la bashite.

Nadhani ni vyema kuwaheshimu kwa hatua walizochukua Katika Chami Chao ili huko bungeni waendelee kunyukana ili washindwe kujua Nani hasa anawatafuna.
Mkiwachukua mnawapa sababu ya wao kuwaona kue nyie ndio masnitchi wao. Mwishowe Wataungana na kuunga mkono hoja hata za kipuuzi ili kuwakomoa.

Nawasilisha
Siasa ni watu .... nadhani ni busara kutumia silaha yoyote kumshinda adui ... CHADEMA wasifanye makosa , kama ambavyo wamemchukua WEMA SEPETU wafanye hivyo hivyo kuwachukua wote wanaotemwa CCM.... Sophia Simba anakundi kubwa la akina mama ....
 
Back
Top Bottom