Sharif
JF-Expert Member
- Mar 13, 2011
- 2,450
- 1,781
malaika wamebaki wachacheMbowe ni mmoja wa malaika walioanza kuishi kishetani?
pombe
bashite
angela
dotto
heri
mnyeti
eti janeth hayumo..
kkkkkk
malaika wamebaki wachacheMbowe ni mmoja wa malaika walioanza kuishi kishetani?
Tena walimtukana sanaSi walikua wanasema Kikwete ni Rais dhaifu ?
malaika wa ngada na ukwepaji kodi lazima wageuke mashetanimalaika wamebaki wachache
pombe
bashite
angela
dotto
heri
mnyeti
eti janeth hayumo..
kkkkkk
Waje na njia kama.....?Nimeona nukuu ya Mwenyekiti wa Chadema,Taifa Freeman Mbowe,ambaye chama chake ndiyo chama kikuu cha Upinzani nchini,katika nukuu hiyo Mbowe analalamika kuwa 2017 wapinzani wamebanwa na hawajui wafanye nini?
Kauli hiyo ni ya kukata tamaa na kuonyesha kuwa kama mwenyekiti amefikia mwisho wa mikakati ya kupambana na chama dola
Kwamba sasa kitakachowasaidia ni kama CCM itaamua hisani yoyote ya uwepo wa upinzani nchini ndiyo Chadema na vyama vingine vinaweza kutimiza wajibu huo wa kikatiba
Naamini hili ni kosa la kiufundi kwa Mbowe na Chama chake warudi chini waje na njia mbdala
Wana wanachama,wafuasi na mashabiki wanaosubiri maelekezo yao kuwaambia hamjui mfanye nini ni sawa na kuwatukana
Uongozi ni kuonesha njia
Mbona kataja?Mbowe kabanwa wapii? aseme alipobanwa? nawaonea huruma sana wanaofanya siasa za Tanzania as a real game....siku mkija kumjua mbowe mtaelewa siasa siyo real game kwa nchi za Africa na duniani kote