Mbowe: Tumuombee Dr. Slaa kwa Mungu ampe moyo wa ujasiri!

Ileje

JF-Expert Member
Dec 20, 2011
8,798
12,240
Mwenyekiti wa CHADEMA amewataka wanachama kumuombea kwa Mungu Dr. Slaa ampe moyo wa ujasiri katika kipindi hiki kigumu ambacho chama kinafanya mkutano wa kumpitisha mgombea wake wa urais!

Mbowe amesema Dr.Slaa hatashiriki katika mkutano huo kwa kuwa atakuwa kwenye mapumziko!

Hata hivyo Dr. Slaa bado ndiye Katibu Mkuu wa CHADEMA na ataendelea na kazi zake baada ya likizo yake!

Source:EA Radio
 
PROPHET POLY 14:00 Today
Kuna kitu hamjakijua tu..Mungu amenionesha:
1. Udini.(sio sana )
2.Udhehebu unataka kulitafina Taifa hili kwa mara nyingine.
Nb:
1. Dr.Umetumwa ukomboe Taifa la Tanzania sio kueneza udhehebu.
2. Unaona bora Umsapoti Magufuli coz ya kutokea zizi moja kiaina?
3.Mungu atawadhibuni nyote kwani Amesikia kilio Cha watanzania wengi..Acheni Mzaha.

4. Kumkataa E.l si tu Ufisadi..Kwani wako wangapi ccm?
Ni zaidi ya Ufisadi Na.agenda hii ya siri..
ONYO.
utawala wenye Baraka..watoka kwa Mungu.
NOTE....
1.MUSA ALIUA KULE MISRI NA BADO MUNGU AKAMTUMA KULIKOMBOA TAIFA LAKE...SEMBUSE UFISADI AMBAO HAU.A UHAKIKA KWA E.L?
2.MNAMWAMINI MUNGU YUPI?Aliyesema samehe mara saba sabini?
ACHENI MZAHA..
 
Mwenyekiti wa CHADEMA amewataka wanachama kumuombea kwa Mungu Dr. Slaa ampe moyo wa ujasiri katika kipindi hiki kigumu ambacho chama kinafanya mkutano wa kumpitisha mgombea wake wa urais!

Mbowe amesema Dr.Slaa hatashiriki katika mkutano huo kwa kuwa atakuwa kwenye mapumziko!

Hata hivyo Dr. Slaa bado ndiye Katibu Mkuu wa CHADEMA na ataendelea na kazi zake baada ya likizo yake!

Source:EA Radio

Hapana chezea mazee aina ya mamvi!
 
Back
Top Bottom