johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Dr Tulia Mwansasu PhD akifanikiwa kuwa Spika/Rais wa Bunge la Dunia basi Tanzania tutapiga hatua kubwa sana kwenye Siasa za Dunia
Tayari Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe ni namba 2 huko Duniani kwenye Umoja wa Vyama vya Demokrasia
Mungu wa Mbinguni mfanyie Wepesi Dr Tulia PhD
Nawatakia Sabato Njema
Mlale Unono 😀😀
Tayari Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe ni namba 2 huko Duniani kwenye Umoja wa Vyama vya Demokrasia
Mungu wa Mbinguni mfanyie Wepesi Dr Tulia PhD
Nawatakia Sabato Njema
Mlale Unono 😀😀