Mbowe, TLS mko wapi kutoa taarifa za Lissu?

Mbowe, TLS mko wapi kutoa taarifa za Lissu?

Hivi karibuni Mwenyekiti wa CDM Mh. Mbowe alisema kuwa wananchi tusipokee taarifa kutoka source nyingine yoyote kuhusu afya na mwenendo wa matibabu ya Lissu isipokuwa kutoka kwa wale waliopo Nairobi.

Hali hii ilishangaza wengi kwani kama siku moja hivi kabla ya tamko hilo kulikuwa na press conference iliyofanywa na Katibu Mkuu wa chama hicho Vincent Mashinji, Naibu Mwenyekiti Profesa Abdallah Safari, na Mkurugenzi wa Usalama wa chama hicho ndugu Benson Kigaiya; kwani watu walihoji iwapo taarifa zilizotolewa na viongozi hao hazikuwa sahahi kwa kuwa wao pia hawakuwepo Nairobi wakati huo.

Hata hivyo baada ya tamko hilo la Mbowe, kumekuwa na ukimya sana juu ya maendeleo kiafya ya kiongozi huyo. Hakuna kiongozi yoyote anayeongelea hali yake officially zaidi ya wabunge wanaojirekodi video za malalamiko, na wengine wanaoenda kumtazama ambao wote hurusha habari hizo mitandaoni. Tunajiuliza, Je hii ni njia ambayo CHADEMA wameamua kuitumia kuwasilisha taarifa za za kiongozi huyo? Lissu ni kiongozi watu, hivyo badala ya kuendelea tu kuhamasisha watu kuchangia matibabu yake, basi pia kuwe na taarifa rasmi za chama juu ya maendeleo yake kiafya.

TLS nao maskini, wamemezwa kabisa na CDM. Inashangaza kuona taasisi inayojinasibu kuwa ni non-political, yenye mfumo rasmi wa uongozi inashindwa kutoa taarifa za maendeleo za Rais wake. Najiuliza hivi TLS wamejivua kabisa jukumu la kumtibu Rais wake huyo, au ndo tuseme CDM wamewapoka jukumu hilo ili kuweza ama kujijenga kisiasa au kuficha jambo fulani? Ni bora TLS wakaueleza umma kuwa kwao na CDM ni damu damu so wameamua kutumia communication channels zake kufikisha taarifa hizo kwa jamii badala ya kuendelea kutudanganya eti hawafungamani na upande wowote kisiasa.

MY TAKE

Kuna jambo limejificha hapa, muda si mrefu lazima litajulikana. Uongo na ukweli have never co-existed, maana naona kuna baadhi ya viongozi wa CDM wameanza kuweweseka baada ya afya ya Lissu kuanza kuimarika. Believe me, time will tell.
Pumba!
 
Hakuna kutoa taarifa za Lissu tena, mnazitaka za nini/ Mjipange kummaliza?? No, MUNGU atamponya na nyie mtaendelea kueweweseka hivyo hivyo tu
 
Hivi karibuni Mwenyekiti wa CDM Mh. Mbowe alisema kuwa wananchi tusipokee taarifa kutoka source nyingine yoyote kuhusu afya na mwenendo wa matibabu ya Lissu isipokuwa kutoka kwa wale waliopo Nairobi.

Hali hii ilishangaza wengi kwani kama siku moja hivi kabla ya tamko hilo kulikuwa na press conference iliyofanywa na Katibu Mkuu wa chama hicho Vincent Mashinji, Naibu Mwenyekiti Profesa Abdallah Safari, na Mkurugenzi wa Usalama wa chama hicho ndugu Benson Kigaiya; kwani watu walihoji iwapo taarifa zilizotolewa na viongozi hao hazikuwa sahahi kwa kuwa wao pia hawakuwepo Nairobi wakati huo.

Hata hivyo baada ya tamko hilo la Mbowe, kumekuwa na ukimya sana juu ya maendeleo kiafya ya kiongozi huyo. Hakuna kiongozi yoyote anayeongelea hali yake officially zaidi ya wabunge wanaojirekodi video za malalamiko, na wengine wanaoenda kumtazama ambao wote hurusha habari hizo mitandaoni. Tunajiuliza, Je hii ni njia ambayo CHADEMA wameamua kuitumia kuwasilisha taarifa za za kiongozi huyo? Lissu ni kiongozi watu, hivyo badala ya kuendelea tu kuhamasisha watu kuchangia matibabu yake, basi pia kuwe na taarifa rasmi za chama juu ya maendeleo yake kiafya.

TLS nao maskini, wamemezwa kabisa na CDM. Inashangaza kuona taasisi inayojinasibu kuwa ni non-political, yenye mfumo rasmi wa uongozi inashindwa kutoa taarifa za maendeleo za Rais wake. Najiuliza hivi TLS wamejivua kabisa jukumu la kumtibu Rais wake huyo, au ndo tuseme CDM wamewapoka jukumu hilo ili kuweza ama kujijenga kisiasa au kuficha jambo fulani? Ni bora TLS wakaueleza umma kuwa kwao na CDM ni damu damu so wameamua kutumia communication channels zake kufikisha taarifa hizo kwa jamii badala ya kuendelea kutudanganya eti hawafungamani na upande wowote kisiasa.

MY TAKE

Kuna jambo limejificha hapa, muda si mrefu lazima litajulikana. Uongo na ukweli have never co-existed, maana naona kuna baadhi ya viongozi wa CDM wameanza kuweweseka baada ya afya ya Lissu kuanza kuimarika. Believe me, time will tell.

Pole sana.Tshirt Pray4Lissu ni zaidi ya SMG
 
Mlifurahia ile taarifa ya Mashinji jinsi ilivyokuwa imejaa kukata tamaa kuhusu afya ya Lissu mkatamani mwendelee kusikia taarifa mbaya mbaya kama hiyo. Imekula kwenu Lissu atapona na anawafaham.....

Ile iliwekwa MAKUSUDI ili tuwajue 'WASIOJULIKANA"
 
Huu ujinga wa CCM kutaka kuligeuza suala la kushambuliwa kwa Lissu kama ni mpango wa CHADEMA utaisha lini? CHADEMA wanachapisha fulana "Pray for Lissu" Polisi wanatumwa na viongozi wa CCM kuwakamata. Ni nani anayeweweseka kati ya CHADEMA na CCM?
Hili si jambo la kitaifa, limekaa kisiasa zaidi, kumbuka TLS is a non political affiliate, its a neutral organ
 
Polisi nao maskini, wamemezwa kabisa na CCM

Mahakama nao maskini, wamemezwa kabisa na CCM.

Bunge nao maskini, wamemezwa kabisa na CCM

Na ni bora hawa wote wakaueleza umma kuwa wao na CCM ni damu damu.

Ambalo hutaki kuelewa ni kwamba wakati Mh. Lissu anapata matatizo, hakuwa kwny shughuli za TLS, na worse enough, kwa namna yyt ile, hakuna sababu iliyopelekea apigwe risasi kma rais wa TLS, bt kma mtu wa upinzani.

Usiwe na waswas mkuu.
Kwani hana maisha mengine nje ya siasa? Ni ngumu ku-conclude kwamba ni siasa tu ndo ilipelekea that kind of attack. Kama ni issue nyingene basi Attackers walikuwa very smart kwani walijua tu hata kama jambo linahusu issue nyingine watu wangeemea kwenye siasa tu
 
Tunajua wengi mnaoulizia sana hali ya Lissu ni mahasimu wake mnajipanga ili mumalize kiporo chenu mlichobakisha pale Dodoma , mashetani wakubwa nyie.
 
Hivi karibuni Mwenyekiti wa CDM Mh. Mbowe alisema kuwa wananchi tusipokee taarifa kutoka source nyingine yoyote kuhusu afya na mwenendo wa matibabu ya Lissu isipokuwa kutoka kwa wale waliopo Nairobi.

Hali hii ilishangaza wengi kwani kama siku moja hivi kabla ya tamko hilo kulikuwa na press conference iliyofanywa na Katibu Mkuu wa chama hicho Vincent Mashinji, Naibu Mwenyekiti Profesa Abdallah Safari, na Mkurugenzi wa Usalama wa chama hicho ndugu Benson Kigaiya; kwani watu walihoji iwapo taarifa zilizotolewa na viongozi hao hazikuwa sahahi kwa kuwa wao pia hawakuwepo Nairobi wakati huo.

Hata hivyo baada ya tamko hilo la Mbowe, kumekuwa na ukimya sana juu ya maendeleo kiafya ya kiongozi huyo. Hakuna kiongozi yoyote anayeongelea hali yake officially zaidi ya wabunge wanaojirekodi video za malalamiko, na wengine wanaoenda kumtazama ambao wote hurusha habari hizo mitandaoni. Tunajiuliza, Je hii ni njia ambayo CHADEMA wameamua kuitumia kuwasilisha taarifa za za kiongozi huyo? Lissu ni kiongozi watu, hivyo badala ya kuendelea tu kuhamasisha watu kuchangia matibabu yake, basi pia kuwe na taarifa rasmi za chama juu ya maendeleo yake kiafya.

TLS nao maskini, wamemezwa kabisa na CDM. Inashangaza kuona taasisi inayojinasibu kuwa ni non-political, yenye mfumo rasmi wa uongozi inashindwa kutoa taarifa za maendeleo za Rais wake. Najiuliza hivi TLS wamejivua kabisa jukumu la kumtibu Rais wake huyo, au ndo tuseme CDM wamewapoka jukumu hilo ili kuweza ama kujijenga kisiasa au kuficha jambo fulani? Ni bora TLS wakaueleza umma kuwa kwao na CDM ni damu damu so wameamua kutumia communication channels zake kufikisha taarifa hizo kwa jamii badala ya kuendelea kutudanganya eti hawafungamani na upande wowote kisiasa.

MY TAKE

Kuna jambo limejificha hapa, muda si mrefu lazima litajulikana. Uongo na ukweli have never co-existed, maana naona kuna baadhi ya viongozi wa CDM wameanza kuweweseka baada ya afya ya Lissu kuanza kuimarika. Believe me, time will tell.
Majanga: Tanzania yaburuzwa Mahakama ya Usuluhishi kwa kuvunja Mkataba wa Mradi uliokuwa ufanyike Bagamoyo
 
Mlifurahia ile taarifa ya Mashinji jinsi ilivyokuwa imejaa kukata tamaa kuhusu afya ya Lissu mkatamani mwendelee kusikia taarifa mbaya mbaya kama hiyo. Imekula kwenu Lissu atapona na anawafaham.....
Kundi la kizazi cha kuhoji wana taarifa za uhakika
 
Amani iwe nanyi,.ni tkribani cku10 zimepita tangu mh tundu lisu ashambuliwe kwa risasi nyingi na watu mpaka leo hawajulikani wanaitwa watu wasiojulikana. Nimesikitishwa na ukimya wa chama cha wanasheria wa tanganyika yaani tls. Mbona km kunasintofahamu baina ya wanasheria hawa? Inawezekana tls kuna ukada wa ccm na chadema? Rai wenu nusura auwawe lakini ushirikiano wenu ni mdogo ni kama mlipenda na kufurahia yaliomtokea tl.
Mtahangaika sana: Trust me Makonda ni lazima aingie kwenye net! Na atabinywa hadi amtaje Sizonje na wale wasiojulikana tunawajua wale waliovamia CLouds! waliomteka Roma mkatoliki, waliomuua/kumteka Ben saanane! aliyemtolea Nape bastola. Halafu hawako professional hata kidogo!! CCTV za clouds zipo!! Hatudanganyiki! Ni makonda ni makonda ni makonda!!
 
Hivi karibuni Mwenyekiti wa CDM Mh. Mbowe alisema kuwa wananchi tusipokee taarifa kutoka source nyingine yoyote kuhusu afya na mwenendo wa matibabu ya Lissu isipokuwa kutoka kwa wale waliopo Nairobi.

Hali hii ilishangaza wengi kwani kama siku moja hivi kabla ya tamko hilo kulikuwa na press conference iliyofanywa na Katibu Mkuu wa chama hicho Vincent Mashinji, Naibu Mwenyekiti Profesa Abdallah Safari, na Mkurugenzi wa Usalama wa chama hicho ndugu Benson Kigaiya; kwani watu walihoji iwapo taarifa zilizotolewa na viongozi hao hazikuwa sahahi kwa kuwa wao pia hawakuwepo Nairobi wakati huo.

Hata hivyo baada ya tamko hilo la Mbowe, kumekuwa na ukimya sana juu ya maendeleo kiafya ya kiongozi huyo. Hakuna kiongozi yoyote anayeongelea hali yake officially zaidi ya wabunge wanaojirekodi video za malalamiko, na wengine wanaoenda kumtazama ambao wote hurusha habari hizo mitandaoni. Tunajiuliza, Je hii ni njia ambayo CHADEMA wameamua kuitumia kuwasilisha taarifa za za kiongozi huyo? Lissu ni kiongozi watu, hivyo badala ya kuendelea tu kuhamasisha watu kuchangia matibabu yake, basi pia kuwe na taarifa rasmi za chama juu ya maendeleo yake kiafya.

TLS nao maskini, wamemezwa kabisa na CDM. Inashangaza kuona taasisi inayojinasibu kuwa ni non-political, yenye mfumo rasmi wa uongozi inashindwa kutoa taarifa za maendeleo za Rais wake. Najiuliza hivi TLS wamejivua kabisa jukumu la kumtibu Rais wake huyo, au ndo tuseme CDM wamewapoka jukumu hilo ili kuweza ama kujijenga kisiasa au kuficha jambo fulani? Ni bora TLS wakaueleza umma kuwa kwao na CDM ni damu damu so wameamua kutumia communication channels zake kufikisha taarifa hizo kwa jamii badala ya kuendelea kutudanganya eti hawafungamani na upande wowote kisiasa.

MY TAKE

Kuna jambo limejificha hapa, muda si mrefu lazima litajulikana. Uongo na ukweli have never co-existed, maana naona kuna baadhi ya viongozi wa CDM wameanza kuweweseka baada ya afya ya Lissu kuanza kuimarika. Believe me, time will tell.
Mchawi mkubwa. Unataka taarifa za Lissu huku kimoyomoyo waombea afariki? Wakumbuka yaliyomkuta Sheikh Yahya? Basi usishangae ukatangulia wewe kabla ya Lissu
 
Hivi karibuni Mwenyekiti wa CDM Mh. Mbowe alisema kuwa wananchi tusipokee taarifa kutoka source nyingine yoyote kuhusu afya na mwenendo wa matibabu ya Lissu isipokuwa kutoka kwa wale waliopo Nairobi.

Hali hii ilishangaza wengi kwani kama siku moja hivi kabla ya tamko hilo kulikuwa na press conference iliyofanywa na Katibu Mkuu wa chama hicho Vincent Mashinji, Naibu Mwenyekiti Profesa Abdallah Safari, na Mkurugenzi wa Usalama wa chama hicho ndugu Benson Kigaiya; kwani watu walihoji iwapo taarifa zilizotolewa na viongozi hao hazikuwa sahahi kwa kuwa wao pia hawakuwepo Nairobi wakati huo.

Hata hivyo baada ya tamko hilo la Mbowe, kumekuwa na ukimya sana juu ya maendeleo kiafya ya kiongozi huyo. Hakuna kiongozi yoyote anayeongelea hali yake officially zaidi ya wabunge wanaojirekodi video za malalamiko, na wengine wanaoenda kumtazama ambao wote hurusha habari hizo mitandaoni. Tunajiuliza, Je hii ni njia ambayo CHADEMA wameamua kuitumia kuwasilisha taarifa za za kiongozi huyo? Lissu ni kiongozi watu, hivyo badala ya kuendelea tu kuhamasisha watu kuchangia matibabu yake, basi pia kuwe na taarifa rasmi za chama juu ya maendeleo yake kiafya.

TLS nao maskini, wamemezwa kabisa na CDM. Inashangaza kuona taasisi inayojinasibu kuwa ni non-political, yenye mfumo rasmi wa uongozi inashindwa kutoa taarifa za maendeleo za Rais wake. Najiuliza hivi TLS wamejivua kabisa jukumu la kumtibu Rais wake huyo, au ndo tuseme CDM wamewapoka jukumu hilo ili kuweza ama kujijenga kisiasa au kuficha jambo fulani? Ni bora TLS wakaueleza umma kuwa kwao na CDM ni damu damu so wameamua kutumia communication channels zake kufikisha taarifa hizo kwa jamii badala ya kuendelea kutudanganya eti hawafungamani na upande wowote kisiasa.

MY TAKE

Kuna jambo limejificha hapa, muda si mrefu lazima litajulikana. Uongo na ukweli have never co-existed, maana naona kuna baadhi ya viongozi wa CDM wameanza kuweweseka baada ya afya ya Lissu kuanza kuimarika. Believe me, time will tell.
Siku zote taarifa sahihi hutolewa eneo la tukio sasa wewe unataka tuamini redio mbao.
 
POINT IKO WPI? UGORO TU
duuuuh ebana ee, kumbe na ww pia umekurupuka kuisoma ee, bas isome tena...ukiwa unasoma ujumbe tafuta connection ya mwandishi na www na hali halisi, otherwise ndo mana waTz wanafeli mashulen cus wanasoma pasipo kuelewa/akielewa kiseemu kimoja tuu bas anatumia kama weapon ya kukashifu maada nzimz...soma tena ukizingatia ayo nlokwambia...acha kiherehere
 
Hivi karibuni Mwenyekiti wa CDM Mh. Mbowe alisema kuwa wananchi tusipokee taarifa kutoka source nyingine yoyote kuhusu afya na mwenendo wa matibabu ya Lissu isipokuwa kutoka kwa wale waliopo Nairobi.

Hali hii ilishangaza wengi kwani kama siku moja hivi kabla ya tamko hilo kulikuwa na press conference iliyofanywa na Katibu Mkuu wa chama hicho Vincent Mashinji, Naibu Mwenyekiti Profesa Abdallah Safari, na Mkurugenzi wa Usalama wa chama hicho ndugu Benson Kigaiya; kwani watu walihoji iwapo taarifa zilizotolewa na viongozi hao hazikuwa sahahi kwa kuwa wao pia hawakuwepo Nairobi wakati huo.

Hata hivyo baada ya tamko hilo la Mbowe, kumekuwa na ukimya sana juu ya maendeleo kiafya ya kiongozi huyo. Hakuna kiongozi yoyote anayeongelea hali yake officially zaidi ya wabunge wanaojirekodi video za malalamiko, na wengine wanaoenda kumtazama ambao wote hurusha habari hizo mitandaoni. Tunajiuliza, Je hii ni njia ambayo CHADEMA wameamua kuitumia kuwasilisha taarifa za za kiongozi huyo? Lissu ni kiongozi watu, hivyo badala ya kuendelea tu kuhamasisha watu kuchangia matibabu yake, basi pia kuwe na taarifa rasmi za chama juu ya maendeleo yake kiafya.

TLS nao maskini, wamemezwa kabisa na CDM. Inashangaza kuona taasisi inayojinasibu kuwa ni non-political, yenye mfumo rasmi wa uongozi inashindwa kutoa taarifa za maendeleo za Rais wake. Najiuliza hivi TLS wamejivua kabisa jukumu la kumtibu Rais wake huyo, au ndo tuseme CDM wamewapoka jukumu hilo ili kuweza ama kujijenga kisiasa au kuficha jambo fulani? Ni bora TLS wakaueleza umma kuwa kwao na CDM ni damu damu so wameamua kutumia communication channels zake kufikisha taarifa hizo kwa jamii badala ya kuendelea kutudanganya eti hawafungamani na upande wowote kisiasa.

MY TAKE

Kuna jambo limejificha hapa, muda si mrefu lazima litajulikana. Uongo na ukweli have never co-existed, maana naona kuna baadhi ya viongozi wa CDM wameanza kuweweseka baada ya afya ya Lissu kuanza kuimarika. Believe me, time will tell.

Hakuna hoja hapa ya kujibu, unastahili matusi
 
Back
Top Bottom