Hivi karibuni Mwenyekiti wa CDM Mh. Mbowe alisema kuwa wananchi tusipokee taarifa kutoka source nyingine yoyote kuhusu afya na mwenendo wa matibabu ya Lissu isipokuwa kutoka kwa wale waliopo Nairobi.
Hali hii ilishangaza wengi kwani kama siku moja hivi kabla ya tamko hilo kulikuwa na press conference iliyofanywa na Katibu Mkuu wa chama hicho Vincent Mashinji, Naibu Mwenyekiti Profesa Abdallah Safari, na Mkurugenzi wa Usalama wa chama hicho ndugu Benson Kigaiya; kwani watu walihoji iwapo taarifa zilizotolewa na viongozi hao hazikuwa sahahi kwa kuwa wao pia hawakuwepo Nairobi wakati huo.
Hata hivyo baada ya tamko hilo la Mbowe, kumekuwa na ukimya sana juu ya maendeleo kiafya ya kiongozi huyo. Hakuna kiongozi yoyote anayeongelea hali yake officially zaidi ya wabunge wanaojirekodi video za malalamiko, na wengine wanaoenda kumtazama ambao wote hurusha habari hizo mitandaoni. Tunajiuliza, Je hii ni njia ambayo CHADEMA wameamua kuitumia kuwasilisha taarifa za kiongozi huyo? Lissu ni kiongozi wa watu, hivyo badala ya kuendelea tu kuhamasisha watu kuchangia matibabu yake, basi pia kuwe na taarifa rasmi za chama juu ya maendeleo yake kiafya.
TLS nao maskini, wamemezwa kabisa na CDM. Inashangaza kuona taasisi inayojinasibu kuwa ni non-political, yenye mfumo rasmi wa uongozi inashindwa kutoa taarifa za maendeleo za Rais wake. Najiuliza hivi TLS wamejivua kabisa jukumu la kumtibu Rais wake huyo, au ndo tuseme CDM wamewapoka jukumu hilo ili kuweza ama kujijenga kisiasa au kuficha jambo fulani? Ni bora TLS wakaueleza umma kuwa wao na CDM ni damu damu so wameamua kutumia communication channels zake kufikisha taarifa hizo kwa jamii badala ya kuendelea kutudanganya eti hawafungamani na upande wowote kisiasa.
MY TAKE
Kuna jambo limejificha hapa, muda si mrefu lazima litajulikana. Uongo na ukweli have never co-existed, maana naona kuna baadhi ya viongozi wa CDM wameanza kuweweseka baada ya afya ya Lissu kuanza kuimarika. Believe me, time will tell.
Hali hii ilishangaza wengi kwani kama siku moja hivi kabla ya tamko hilo kulikuwa na press conference iliyofanywa na Katibu Mkuu wa chama hicho Vincent Mashinji, Naibu Mwenyekiti Profesa Abdallah Safari, na Mkurugenzi wa Usalama wa chama hicho ndugu Benson Kigaiya; kwani watu walihoji iwapo taarifa zilizotolewa na viongozi hao hazikuwa sahahi kwa kuwa wao pia hawakuwepo Nairobi wakati huo.
Hata hivyo baada ya tamko hilo la Mbowe, kumekuwa na ukimya sana juu ya maendeleo kiafya ya kiongozi huyo. Hakuna kiongozi yoyote anayeongelea hali yake officially zaidi ya wabunge wanaojirekodi video za malalamiko, na wengine wanaoenda kumtazama ambao wote hurusha habari hizo mitandaoni. Tunajiuliza, Je hii ni njia ambayo CHADEMA wameamua kuitumia kuwasilisha taarifa za kiongozi huyo? Lissu ni kiongozi wa watu, hivyo badala ya kuendelea tu kuhamasisha watu kuchangia matibabu yake, basi pia kuwe na taarifa rasmi za chama juu ya maendeleo yake kiafya.
TLS nao maskini, wamemezwa kabisa na CDM. Inashangaza kuona taasisi inayojinasibu kuwa ni non-political, yenye mfumo rasmi wa uongozi inashindwa kutoa taarifa za maendeleo za Rais wake. Najiuliza hivi TLS wamejivua kabisa jukumu la kumtibu Rais wake huyo, au ndo tuseme CDM wamewapoka jukumu hilo ili kuweza ama kujijenga kisiasa au kuficha jambo fulani? Ni bora TLS wakaueleza umma kuwa wao na CDM ni damu damu so wameamua kutumia communication channels zake kufikisha taarifa hizo kwa jamii badala ya kuendelea kutudanganya eti hawafungamani na upande wowote kisiasa.
MY TAKE
Kuna jambo limejificha hapa, muda si mrefu lazima litajulikana. Uongo na ukweli have never co-existed, maana naona kuna baadhi ya viongozi wa CDM wameanza kuweweseka baada ya afya ya Lissu kuanza kuimarika. Believe me, time will tell.

